comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
mimi ndimi.
mbele ya upeo ya macho yenu.
ebbana wakina dada ambao hamjaolewa najua mnakuaga na stress sana, ukiangalia umri unakimbia kama mwendokasi, yani jua ndio linazama, lakini msife moyo, atajitokeza tuu wa kukuoa one day, no matter how !, No matter what !
aseee ! ninayaongea haya nikiwa nina uthibisho mazeee !
leo bana katika pitapita zangu FB nimefumania picha za harusi ya EX wangu et nae kapata mume, duuuuh !!, alikua mfano wa mwanamke dunga embe, yani bonge la pasua kichwa mwenye tabia chafu kabisa, lakini nashangaa tayar kashapata boya wake nae kamkamata, na sasa ni mke wa mtu.
asee! ila jamaa aliemuoa yule manzi namuonea huruma sana, ni Kama amekumbatia bomu linahesabu tuu sekunde linasubiri mda ufike lilipuke maseee !
aseee ! hatawewe ambae hujaolewa usiwaze, haijalishi upo vipi au unatabia gani, uwe singo maza hata unawatoto watano, usijali ipo siku tuu na wewe utapata boya wako utamkamata atakuoa tuu.
NAKIPUMULIA KIPAZA !
mbele ya upeo ya macho yenu.
ebbana wakina dada ambao hamjaolewa najua mnakuaga na stress sana, ukiangalia umri unakimbia kama mwendokasi, yani jua ndio linazama, lakini msife moyo, atajitokeza tuu wa kukuoa one day, no matter how !, No matter what !
aseee ! ninayaongea haya nikiwa nina uthibisho mazeee !
leo bana katika pitapita zangu FB nimefumania picha za harusi ya EX wangu et nae kapata mume, duuuuh !!, alikua mfano wa mwanamke dunga embe, yani bonge la pasua kichwa mwenye tabia chafu kabisa, lakini nashangaa tayar kashapata boya wake nae kamkamata, na sasa ni mke wa mtu.
asee! ila jamaa aliemuoa yule manzi namuonea huruma sana, ni Kama amekumbatia bomu linahesabu tuu sekunde linasubiri mda ufike lilipuke maseee !
aseee ! hatawewe ambae hujaolewa usiwaze, haijalishi upo vipi au unatabia gani, uwe singo maza hata unawatoto watano, usijali ipo siku tuu na wewe utapata boya wako utamkamata atakuoa tuu.
NAKIPUMULIA KIPAZA !