silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,347
- 1,988
Mkuu ukipiga sound unaharibu stage hiyo inakuwa ilishapita, ni kukomaa tu akupe upekue kipochi manyoya.Unakuta demu ni rafiki yako/ best mnachat halafu anakutumia hizi emoji [emoji7] [emoji8] [emoji182] [emoji11] [emoji10] [emoji9] baada ya kumfanikishia jambo fulani... mbaya zaidi upo singo, ukipiga saundi anakwambia nakuchukulia kama kaka yangu