Wanawake acheni malingo katika maisha

Wanawake acheni malingo katika maisha

Ni kwamba ametafuta mada ya kuwaponda wanawake amekosa, kaamua kucopy na kupaste hiyo ambayo ni general kwa jinsia zote
We acha tu, wanawake nishida sana katika maisha yetu yakila siku ndowanao tuongezea hizi stress .....wengine wako hovyo sana hana mbele wala nyuma lakini maringo sasa....wengine ni flat screen, miguu tube light ka someshwa na m chumba gari ni vitz( baby seater) na niya mkopo wa mshahara, kichwani hana nywele mawigi tu.....sasa anapo ringa kwa wenzake unaweza ukafikiri hata zeeka au kufa....plz punguzeni mnafanya wengine wakose raha
 
Na hatuwezi kuacha kwa uzi wako.
Ukiringiwa jiongeze
Umeshaiona like yangu? Yaani mimi nikiringiwa na mwanamke, huniweka attention akili yangu vibaya na kuanza kufuatilia kinachosababisha aniringie!
Na akikazia, mfano atamke na maneno kabisa niyasikie, kwamfano: ...wee baba shakwambia sikupendi na sikutaki, sijui upoje tu....
Huyo sasa anataka ale hela zangu kwa hongo, maana hugeuza hayo marumbano kuwa ni ligi ya kutafuta ushindi na ushindi lazima niupate kwa gharama yoyote ile.
 
We acha tu, wanawake nishida sana katika maisha yetu yakila siku ndowanao tuongezea hizi stress .....wengine wako hovyo sana hana mbele wala nyuma lakini maringo sasa....wengine ni flat screen, miguu tube light ka someshwa na m chumba gari ni vitz( baby seater) na niya mkopo wa mshahara, kichwani hana nywele mawigi tu.....sasa anapo ringa kwa wenzake unaweza ukafikiri hata zeeka au kufa....plz punguzeni mnafanya wengine wakose raha
Achana na anayeringa mfuate wa type yako, ya nini kujipa stress? Kuna types kibao za wanawake hujaona tu wa kufanana na wewe? Anayeringa mwache aringe..hata wanaume wapo wanaoringa kila mtu apambane na wa type anayoipenda.
 
Achana na anayeringa mfuate wa type yako, ya nini kujipa stress? Kuna types kibao za wanawake hujaona tu wa kufanana na wewe? Anayeringa mwache aringe..hata wanaume wapo wanaoringa kila mtu apambane na wa type anayoipenda.


You sound like my type
 
Haya sasa majungu, vikauli vya kulaani laani hivi mara zote hutolewa na watu waliokata tamaa.

Mkuu umesema kitu cha ukweli sana, kwa mwanasaikolojia yoyote timamu hiki kitu kipo wazi
 
Back
Top Bottom