Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
sambusa yako sasa utakuja chukua sangap?
ntaongeza na chapat...
Naweza onjeshwa hiyo sambusa?
sambusa yako sasa utakuja chukua sangap?
ntaongeza na chapat...
Kumbe ndio maana unalalama hujapataaaaa! Nilikuwa najiuliza kulikoni unalalama humu hujapata! Kuuumbeeeee! :shock::shock::shock:
Safi sana shetani one kuleta hii mada mana wanatabia mbaya sana. Hajui una hela wala nini yeye anaunga tu na train lake
athante....:smile-big::smile-big:
basi kesho stakuja nao wote ,..ntakuja na monica ,sandra na salma tu ..watatu asi wanaruhusiwa..???
stakuja nao wote watano...:frog:
Nakumbuka nilipokua Chuo demu wangu alikuwa na tabia ya kukusanya wenzake wanakuja hostel mtu nne mpaka tano ivi, nilichukua glass tano nikafungua soda moja na kuwakaribisha. hakurudia tena :eyeroll1: Aibu yangu aibuyake :car:
I can't wait may be i will be lucky! Si mwaweza gawana Redds?
Naweza onjeshwa hiyo sambusa?
Rose kwa kukonyeza jamaa ataongeza wine this time
ndo unataka kusemaje?
nikisema nimekutana na mwanaume mleviiii pale ilala ..basi ndio mbiooo jf na kuwasema wanaume wooooooote as if wote walev?...na kuandka nyie wanaume achen ulev mpaka mnajisaidia ovyo...utakubali..?asi utasema si wote nenda kamwambie uyo anayehusika?
the same to us
umekutana na msukule wako uko basi mfate kamwambie na siyo kuja jf na kuchamba wadada wote...thou atuikatai izo tabia kuwepo tusichotaka ni generalization zenu.
gud aftanun sir.
generalization MWIKO...specification alowed.
Mh Desi dagha umekuwa mkali anahitaji kuelimishwa taratibu c kwamba ana chuki kivile
ahh mwenzio wa peps tu wala stumii kilev..poa tutagawana mirinda au peps...umekimbia sana pumzika basi..
asi una mdomo baba?
njooo ntakuonjesha usijali ....uwai b4 baba enock ajaja...
Anatuandama sana wanawake sijui mademu zake haeshi maneno huyu
hahah hahahah wine?
t must b st anna...
Unakuta una date na mwanamke yeye akija yuko na train (marafiki zake) sasa mimi nimekuita tuongee private wewe unabeba mashost wa nini?