Wanawake: Acha moyo wako uongee

Nachoona ni binti mdogo anajifosi kwa kijana..aina tu ya maneno anavyoandika ni mtoto,..mara sijui destiny,only love matters blah blah...kua uyaone wanayoona dada zako lol...kutongoza mwachie mwanaume ndo kazi yake,love sijui ndo kitu gani,kama umemuelewa mwanaume we jilengeshee n behave kike ataingia mwenyeweee like it's his idea.,
Kuja kuambiwa uliniapproach inahusuu lol.,
 
Ni utoto tu, akikua ataacha.
 
Yap. Ukimpata wa hivi afu akakucheat inabidi ukamloge kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…