Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Bado hamjasema,mtasema tu!
Mbona Mzee Makamba na Kinana hawaonekani Msibani kwa Kachero,au msiba hauwahusu.Tulieni dawa iwaingie!
 
Siku zijazo zina Tisha zaidi kuliko leo na kesho.
Mkuu ile mada yako nzito juu ya Uchunguzi pindi Rais anapofariki madarakani,huwa naipitia kila siku.Watu wanatamani maneno waliyoongea yarudi mdomoni mwao lakini wapi,too late!
Nimekuelewa sana!
 
Taja majina ya waliouwawa na Magufuli!
Hii propaganda yenu ya kijizi tulikwishaikataa!
Majizi,Vueti feki,wabadhirifu na wasakatonge wa nchi hii mmepigwa na kitu kizito.

Hata ...
Membe hatasimama tena!
 
Taja majina ya waliouwawa na Magufuli!
Hii propaganda yenu ya kijizi tulikwishaikataa!
Majizi,Vueti feki,wabadhirifu na wasakatonge wa nchi hii mmepigwa na kitu kizito.

Hata ...
Membe hatasimama tena!
Azori gwanda, Ben saanane nk
 
Mkuu Voicer kwa vile wewe na wenzako mmeamua kuendeleza mashindano batili ya kimafia kuhusu vifo na misiba ya mahasimu, basi nakupa kigezo muhimu katika falsafa muflis ya mafiosi: Yule anayekuwepo na/au kuhudhuria na/au kusimamia msiba wa kifo cha hasimu wake ndiye mshindi. He who survives his adversary is the victor.

Haya basi endelezeni mipasho batili ya misiba kwa faida ya nafsi zenu duni.
 
Mkuu kwahiyo shangwe inaendelea kwa wanyonge?
 
Sukuma Gang mnapiga makelele tu kama vyura,bwana wenu anaendelea kubanikwa huko.
 
Huyo marehemu wa mleta mada alishawahi kumdhihaki mtu kwa kupiga pushup jukwaani
 
Na Mungu ataendelea kuongeza msafara sawia kabisaaa!

Tunajua Magufuli harudi tena kama ilivyo kwa Membe nae hatutamuona tena.

Ila legacy itakayobakia ni ya JPM pekee!
Yaani nchi hii legacy ni ya JPM pekee? Vipi kuhusu Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?
 
Siku unapata akili na ndo siku ya kufa
 
Tuungane kudai KATIBA mpya Ili Tuimarishe UMOJA wa kitaifa.

Bring back our WARIOBA 💪💪💪
 
Kama mlivyo na mnavyoendeleza chuki yenu dhidi ya yule mliyeshirikiana kumdhuru na kisha kuendelea kumdhihaki akiwa kaburini mpaka leo hii.

Na sisi tunaanzia hapohapo!
 
Walioshangilia ndiyo walikosea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…