Wanaumeee...!

Trainee

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
3,024
Reaction score
4,029
Matumizi kwa mwezi na yote anatakiwa agharamie mwanaume

Chakula (chai na Wastani wa milo miwili kila siku) 10000
Nishati (kuni/gesi/mkaa) 25000
Umeme (Luku) 3000
Maji 5000
King'amuzi 25000
Swadaka 4000
Vizinga kutoka kwa masela (utakadiria mwenyewe)
Wazazi wapate chochote kitu (kadiria mwenyewe)
Ndugu, jamaa na watoto wapate chochote kitu
Kodi ya nyumba 15000
Mavazi ya watoto, mke na ya kwako mwenyewe
Sabuni 15000

Hiyo ni kima cha chini sana kwa mtu wa kawaida kabisa tena ni huku kijijini na hapo sijaweka vikolombwezo vingine mfano usafiri na michango mbalimbali ya kijamii na kiserikali

Kwahiyo kwa mwezi tu unaona hela inayokatika hiyo na hapo bado mambo ya anasa ghafla na dharura, matapeli hawajakutembelea, wezi na vibaka... Nk

Usiniulize kipato,

Wanaumeee...!
 
Weka za matajiri na maisha ya kati
 
halafu bado tukifa tunaenda motoni hapo ni kwa wazungu kwasisi waafrika huyo mtu akifa awe mzimu!,hawezi kuwa mzimu mzuri hata tone, never ever mzimu ushavurugwa hata kabla haujawa mzimu!..🀣
 
Hatari sana, tena sio na nusu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…