Wanaume....!

Pia usipende kuwa mlalamikaji kwenye maisha, uwe unajifanyia tathmini ya wewe mwenyewe sababu mambo yanayohusisha nafsi yako ni ya kwako mwenyewe
 
We acha tu mwanaume akiamua kukupiga matukio lazima unyanyue mikono juu,aisee pole sana bora ulijua mapema.
 
Bila shaka uko single kwa sasa
Ukipata muda njoo tupotezeana muda
 
story yako iko biased, nasubiri upande wa pili tubalance kama ni kweli umeonewa
 

Mhm hapa ndio unasema angekuambia tuu kuwa tunasogezaa siku lakini kiukweli wanawake hamtakagi ukweli huo...njemba akikwambia tuu kuwa tuwe pamoja tuwage tunagegedana tuu hutamvuloa chupi...mara oh wee wataka nipotezea muda tuu. Ndio maana majamaa wanaona isiwe tabu full maigizo wakishakugegeda huna jipya tena hapo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…