Ila watu wako so insecure na inferiority.
Wakisifiwa Dark na Black color, basi watu wote winja winja na hae hae, full shangwe.
Ila wakisifiwa Light na melanin color, watu wote nongwaaaa na mazabe.
Jamani kila mtu ana haki ya kusifia apendacho, Lol
ππππ