Wanaume wenzangu tutafute hela

Ukiwa masikini unakua na imani kwamba ukiwa na pesa ndio kila kitu ila ukija kuzipata unagundua kwamba kuna vitu ni muhimu kuliko pesa na pesa haimalizi matatizo yote,


There is no greater wealth than peace of mind.
 
Sasa ni bora uje kurealize hayo ukiwa na pesa tayar.. imagine huna pesa alafu na unavyo vihitaj navyo huna
Pesa ni kitu kizuri kua nacho lakini sio solution kwa kila kitu, kuna mzee mmoja sasa hivi ni marehemu nlienda kumtembelea akiwa anaumwa pesa alikua nayo ya kutosha ila ugonjwa umemshika vibaya akaniambia "mwanangu hapa akitokea mtu akaniponya nitampa kila kitu Changu" tangu siku hiyo hua namshukuru Mungu kwa zawadi ya afya bora vingine ni ziada
 
Ukiwa umezungukwa na masikini pesa yako mwenyewe inaweza ikakunyima amani kwa kupigwa mizinga,Nina amani sana kama watu wakijua sina pesa hata kama ninayo kidogo.
 
Hakuna utajiri mkubwa na wa maana hapa duniani kama kuimiliki amani ya moyo na nafsi. Mengine ziada tu
Tuongee yote, pesa muhimu. Hiyo Amani ya moyo Ni matokeo ya kuridhika. Mfano huwezi kuwa na amani ukiwa na njaa Ila pesa itakufanya upate chakula unachokipenda na hapohapo ndipo amani ya Moyo inakuja.
 
Love, Happiness, Health, Time etc
You just fooling yourself. Money can't buy love but pesa inanunua vitu vinavyotengeneza na kudumisha love. Nikimletea nguo nzuri mke wangu, tukatengeneza trip nzuri automatically itaongeza love Kati yetu. And those things needs money. Jamani umaskini haununui chochote.

Hapo kwenye health ndio naona hujui lolote umebaki kukariri tu misemo ya kimaskini. Niliwahi kupata tatizo la figo Mimi mwenyewe, nikaenda KCMC......(naishia hapa maana nadhani wewe bado una utoto).

Take your time, go to government hospitals, ingia ward za jumla mfano za wanaume, kaa dakika 10. Kisha toka hapo nenda ward za VIP fananisha mazingira na huduma. Kisha toka nenda private hospitals Kama Agha Khan. Usipojifunza nguvu ya pesa basi tena.
 
Back
Top Bottom