Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,385
- 5,817
Ingekuwa haikuumi usingekuja na hili bandiko lako.Yes but hainiumi hata kidogo
Ingekuwa haikuumi usingekuja na hili bandiko lako.Yes but hainiumi hata kidogo
Haya wamekusikiaHili bandiko nimelileta Kama mafunzo ya kivita tu KWAMBA wanaume tujue tupo katikati ya Vita Kati ya serikali na waasi
Mwanamke mafiga matatuWe umewapanga wangap
Ha haa huna haja ya kutuamini, nani kasema mtuamini? Mmeambiwa muishi na sisi kwa akili. Tatizo baadhi yenu hamna akili mwisho wa siku lazima ulalamikeHalafu ndo mnataka tuwaamini? Mi ndomaana nawafokonyoa tu zen unatupa huko unaangalia mwingne aliyenona
SawaNa Mimi nimefungua huu uzi ili kurudisha akili za watu
Yah ni kweli kumridhisha mwanamke sio jukumu let nandomaana wanakutafutia mwanaume was kukusaidia kidogo coz anakuona wewe unalamba kitumbua tu na wakati yeye anataka ukitafuneKwan unatakaga Kumridhisha Mwanamke????
Mi navyojua Mwanamke we mpende,muheshimu,mfanye muhimu kwako na mchekeshe/mfurahishe sanaaaaaaaa ila hilo la kumridhisha mwanamke sio jukumu letu.
Sawa mkuuLazma tutarud kwenye mstari tu
Unadhani ukimridhisha ndo hatafuti? Umalaya asili mzee ...Yah ni kweli kumridhisha mwanamke sio jukumu let nandomaana wanakutafutia mwanaume was kukusaidia kidogo coz anakuona wewe unalamba kitumbua tu na wakati yeye anataka ukitafune
yeah becoz bado hujawa MWANAUME....I have experience so nimeshare na watu kile nilichojifunza
Hivi mnazungumzia nini?Walianz awanawake wamemaliza.
Hawakujua hata mjinga ana a point of no return.
Wakumbuke tu walipoharibu tuanze upya kuokoa vizazi vijavyo.