Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

Yaani tumefikia ile "ukimwaga mbona namwaga ugali na maji ya kunawa".

Sijui huko tuelekeako tutakuw ana vizazi vya aima gani,
na bahati mbaya sioni juhudi za kujenga zaidi ni tunabomoa tu.
Wanawake walikuwa na jitihada za kujenga lkn wamekatishwa tamaa sana. Uvumilivu una kikomo. Na huko tunakoelekea watalia sana Hawa viumbe, wengine washaghairi kuoa hawajui kuwa ni wao wameharibu Jamii.
 
Walianz awanawake wamemaliza.
Hawakujua hata mjinga ana a point of no return.
Wakumbuke tu walipoharibu tuanze upya kuokoa vizazi vijavyo.
Haya nyie endeleeni kuleta viburi tu ila kumbukeni nowdays wanaume wanapungua Kila kukicha
 
Wanawake walikuwa na jitihada za kujenga lkn wamekatishwa tamaa sana. Uvumilivu una kikomo. Na huko tunakoelekea watalia sana Hawa viumbe, wengine washaghairi kuoa hawajui kuwa ni wao wameharibu Jamii.
Bahati mbaya si kwamba anaghairi kuoa alafu awe single. Bali ana mpango wa kuendelea na uzinzi na kuwa na watoto bila ndoa.

Sasa hebu fikiria hapo hao watoto watelelewa ktk mazingira gani na watakuwa na mentality ya aina gani then tutakuwa na jamii za aina gani
 
Walianz awanawake wamemaliza.
Hawakujua hata mjinga ana a point of no return.
Wakumbuke tu walipoharibu tuanze upya kuokoa vizazi vijavyo.
Uzuri wa mwanamke atalia hlf atajinyanyua na akiamka hapo akili zake anazijua mwenyewe. Wanawake wanafundishana kuwa strong kila siku na hii imetokana na wao kutendwa. Shauri lao mi hata siwaonei huruma
 
Haya nyie endeleeni kuleta viburi tu ila kumbukeni nowdays wanaume wanapungua Kila kukicha
Hii kauli mmeanza kuitumia karne ya ngapi sasa? Tena msivyo na akili badala hiyo kauli muitumie kujitafakari mnaitumia kufanya upuuzi mkijiona miungu watu. Haya sasa ndio matokeo yake mnaona mlikoifikisha dunia?
 
Bahati mbaya si kwamb aanagairi kuoa alafu awe single. Bali an ampango wa kuendelea na uzinzi na kuwa na watoto bila ndoa.

Sasa hebu fikiria hapo hao watoto watelelewa ktk mazingira gani na watakuwa na mentality ya aina gani then tutakuwa na jamii za aina gani
Kazi ipo, na hao watoto watalelewa na single mother ambao wanapondwa kila siku....mtoto analelewa bila baba kwa shida shida hlf akue utegemee awe na maadili. Tunaharibu jamii sisi wenyewe
 
Uzuri wa mwanamke atalia hlf atajinyanyua na akiamka hapo akili zake anazijua mwenyewe. Wanawake wanafundishana kuwa strong kila siku na hii imetokana na wao kutendwa. Shauri lao mi hata siwaonei huruma
Yaani Kuna muda mtu unasema Sasa nikipata mwanamke natulia ,,lahaula ukishampata kitakachokutokea utasema ni Bora ungeendelea kuwatindua tu
 
Uzuri wa mwanamke atalia hlf atajinyanyua na akiamka hapo akili zake anazijua mwenyewe. Wanawake wanafundishana kuwa strong kila siku na hii imetokana na wao kutendwa. Shauri lao mi hata siwaonei huruma
Wanavyolia lia utafikiri wao ni wema na wametenda mema sana kwa wanawake, hawajui ndio wametufikisha hapa.
Ukiwasikiliza utafikiri wao hawana shida bali wanawake tu.
 
Hii kauli mmeanz akuitumia karne ya ngapi sasa? Tena msivyo na akili badala hiyo kauli muitumie kujitafakari mnaitumia kufanya upuuzi mkijiona miungu watu. Haya sasa ndio matokeo yake mnaona mlikoifikisha dunia?
Ili unielewe pita maeneo ya KINONDONI kidogo zen njoo tuendelee na mada
 
Yaani Kuna muda mtu unasema Sasa nikipata mwanamke natulia ,,lahaula ukishampata kitakachokutokea utasema ni Bora ungeendelea kuwatindua tu
Nikwambie tu Kaka yangu nyie ndio waharibifu. Yote haya mmeyapanda wenyewe Sasa hivi mvune bila malalamiko. Bila mwanaume kubadilika hii Jamii itateketea, nyie ndio vichwa lkn Sasa hivi mmekuaje sijui mnaelekea kuwa mikia
 
Ili unielewe pita maeneo ya KINONDONI kidogo zen njoo tuendelee na mada
Are you for real?

Suala la wanaume wenzenu kuwa na upungufu wa nguvu za kiume umeona ni kitu cha kujichukulia nacho point?

Kumbuka hata huyo mwenye huo upungufu hakuzaliwa hivyo, hata nawe waweza kuwa mhanga wa kesho. Hivyo kama wewe mwanaume kweli ulipaswa kujitafakari mmekosea wapi hadi tukafikia hapa na nini kifanyike kutokea hapa tulipo. Kama wewe ni MWANAUME lakini.
 
Nikwambie tu Kaka yangu nyie ndio waharibifu. Yote haya mmeyapanda wenyewe Sasa hivi mvune bila malalamiko. Bila mwanaume kubadilika hii Jamii itateketea, nyie ndio vichwa lkn Sasa hivi mmekuaje sijui mnaelekea kuwa mikia
Sasa happy solution ni nn
 

"BUZI TATA HALICHUNWI HATA KWA LIMBWATA LA KITANGA"

Kumbuka Tembo na ukubwa wake wote ule kwa sisimizi hafurukuti.
 
Back
Top Bottom