Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

Mahusiano nw days yamekua magumu sana japo wenye misimamo na mapenzi ya dhati wapo....nanyi wanaume ni waongo sana basi na sisi ndo tunajifunza kupitia kwenu ...nanyie mmetupanga kama foleni ya madumu me naona tuendelee tu kudanganyana mpka akili zitukae sawa....
Akili hazitakaa sawa tutadata jamani 😀😀
 
Are you for real?

Suala la wanaume wenzenu kuwa na upungufu wa nguvu za kiume umeona ni kitu cha kujichukulia nacho point?

Kumbuka hata huyo mwenye huo upungufu hakuzaliwa hivyo, hata nawe waweza kuwa mhanga wa kesho. Hivyo kama wewe mwanaume kweli ulipaswa kujitafakari mmekosea wapi hadi tukafikia hapa na nini kifanyike kutokea hapa tulipo. Kama wewe ni MWANAUME lakini.
Sijamaanisha upungufu......wanaime wengi wamegeuka kuwa wadada
 
Wenyewe mna kamsemo kenu, hamuwezi kuegemea ukuta mmoja, ukibomoka hamtakuwa na sehemu ya kuegemea..
Sasa sijui nani anayependa ukiwa baada ya ukuta kubomoka.
 
Solution Ni mwanaume kubadilika, nyie ndio viongozi wetu, ukiharibu wewe baba lazima mama na watoto wayumbe pia. Na mwanamke akiharibika balaa lake si la kitoto
Sasa mbona tukibadilila nyie bado mnaendelea kutupanga foleni?
 
Hapa mesoma Comments nkajua AKILI ZA WAPUMBAVU ZILIVYO 😡 😡
JIWE GIZANI
 
Kwani wanaoliwa wamebakwa si wamependa wenyewe, Tena wengine wanalilia kabisa? Humkomoi mtu Kama kafanya kwa Raha zake. Hasara unapata wewe unayeingiza dudu lako la thamani kwenye mavi.
Hasara mnapata wote,yeye kaingiza mwenye mavi wewe unatembea umeweka matambala mavi yasikutoke,,alafu hata kucheka huruhusiwi zaidi ya kutabasam tu,maana ukicheka 0713...nayo inacheka na mimavi hiyo
 
Sijamaanisha upungufu......wanaime wengi wamegeuka kuwa wadada
Sasa hapo mwanamke anahusikaje? Si ni wanaume nyie ndio mmebadilika kuwa wadada? Kaeni mjitafakari wapi mnakosea hadi mnatamani kuwa wanawake. Na bahati nzuri hao wanaume nyie ndio mnawageuza kuwa wadada hivyo mna nafasi kubwa ya kuokoa.
 
Sasa mbona tukibadilila nyie bado mnaendelea kutupanga foleni?
Umebadilika baada ya kuwavuruga wangapi?

Sasa inabidi utulie kama unanyolewa maana it will take time kama ambavyo ilichukua muda kwa wanawake kubadilika. Taratibu mtabadili dunia
 
Sasa mbona tukibadilila nyie bado mnaendelea kutupanga foleni?
Lini mmebadilika? Tumeshapangwa sana Hadi tumezoea na mnaenda mbali zaidi mnasema nature yenu tunawaangalia tu. Nani kakuambia sie tunaridhika na mwanaume mmoja hatutamani? Ni vile mwanamke amefundishwa heshima na kutokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya mumewe but unapoona huthaminiwi na uvumilivu wote matokeo yake ndio haya. Tutawapanga mpka mtuue mbaki wenyewe.
 
Umebadilika baada ya kuwavuruga wangapi?

Sasa inabidi utulie kama unanyolewa maana it will take time kama ambavyo ilichukua muda kwa wanawake kubadilika. Taratibu mtabadili dunia
Mimi tayar nilishanyolewa saiv nipo poa kabisa nawashaur wanaume wenzangu tu
 
Lini mmebadilika? Tumeshapangwa sana Hadi tumezoea na mnaenda mbali zaidi mnasema nature yenu tunawaangalia tu. Nani kakuambia sie tunaridhika na mwanaume mmoja hatutamani? Ni vile mwanamke amefundishwa heshima na kutokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya mumewe but unapoona huthaminiwi na uvumilivu wote matokeo yake ndio haya. Tutawapanga mpka mtuue mbaki wenyewe.
Kwakwel Dada yangu kwa hii hatua mliyofikia sidhani Kama Kuna mwanaume MWENYE akili timamu atakuja kuwaamini Tena, naomba nisisitize kidogo WANAUME HATUTAKIWI KUWAAMINI WANAWAKE HATA CHEMBE. Mi saiv mpenz wang huwaga namwangaliaga tu anavojiongelesha Wala hata sibishani nae ila moyoni najisemea tu(sikuamini)
 
Kwakwel Dada yangu kwa hii hatua mliyofikia sidhani Kama Kuna mwanaume MWENYE akili timamu atakuja kuwaamini Tena, naomba nisisitize kidogo WANAUME HATUTAKIWI KUWAAMINI WANAWAKE HATA CHEMBE. Mi saiv mpenz wang huwaga namwangaliaga tu anavojiongelesha Wala hata sibishani nae ila moyoni najisemea tu(sikuamini)
And the vice versa is so true. Usidhani unaaminiwa hapo ulipo
 
Tumeshawaruhusu waujue udhaifu wetu unategemea nini lazima wacheze mule mule na mwanamke akishajua kucheza na udhaifu wa mwanaume ndo basi tena matokeo yake ndo haya wanaume tunakuja kulalamika humu mitandaoni tumeshakaririshwa kuwa wanawake ni viumbe wapole na wavumilivu ambalo ni kweli

Na tumeshazoea kuwaonea na kuwasimanga bila kujua mwanamke akiamua kulipa kisasi na kuwa katili hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kuchukua mafunzo mwanamke anaweza kukuua huku anakuchekea but all in all mwanamke atareact kutokana na vile mwanaume wake anavyomtreat
Waeleze ila vichwa ngumu sidhani Kama watakuelewa
 
Back
Top Bottom