Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,385
- 5,817
Akili hazitakaa sawa tutadata jamani 😀😀Mahusiano nw days yamekua magumu sana japo wenye misimamo na mapenzi ya dhati wapo....nanyi wanaume ni waongo sana basi na sisi ndo tunajifunza kupitia kwenu ...nanyie mmetupanga kama foleni ya madumu [emoji16][emoji16]me naona tuendelee tu kudanganyana mpka akili zitukae sawa....
Hahahaahah!! Mbaya zaidi walihisi wanawake twafaidi, baadhi yao nao wameanza kuuvaa uhusika wetu[emoji22].Na bado, dunia inaenda kwa kasi sana. Wanawake wamelia vya kutosha Sasa hivi zamu yenu. Mi nacheka tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Ha haaaa jamanii, kumbe ni wivu?Hahahaahah!! Mbaya zaidi walihisi wanawake twafaidi, baadhi yao nao wameanza kuuvaa uhusika wetu[emoji22].
Sijamaanisha upungufu......wanaime wengi wamegeuka kuwa wadadaAre you for real?
Suala la wanaume wenzenu kuwa na upungufu wa nguvu za kiume umeona ni kitu cha kujichukulia nacho point?
Kumbuka hata huyo mwenye huo upungufu hakuzaliwa hivyo, hata nawe waweza kuwa mhanga wa kesho. Hivyo kama wewe mwanaume kweli ulipaswa kujitafakari mmekosea wapi hadi tukafikia hapa na nini kifanyike kutokea hapa tulipo. Kama wewe ni MWANAUME lakini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaahah!! Mbaya zaidi walihisi wanawake twafaidi, baadhi yao nao wameanza kuuvaa uhusika wetu[emoji22].
Hasara mnapata wote,yeye kaingiza mwenye mavi wewe unatembea umeweka matambala mavi yasikutoke,,alafu hata kucheka huruhusiwi zaidi ya kutabasam tu,maana ukicheka 0713...nayo inacheka na mimavi hiyo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwani wanaoliwa wamebakwa si wamependa wenyewe, Tena wengine wanalilia kabisa? Humkomoi mtu Kama kafanya kwa Raha zake. Hasara unapata wewe unayeingiza dudu lako la thamani kwenye mavi.
Sasa hapo mwanamke anahusikaje? Si ni wanaume nyie ndio mmebadilika kuwa wadada? Kaeni mjitafakari wapi mnakosea hadi mnatamani kuwa wanawake. Na bahati nzuri hao wanaume nyie ndio mnawageuza kuwa wadada hivyo mna nafasi kubwa ya kuokoa.Sijamaanisha upungufu......wanaime wengi wamegeuka kuwa wadada
Umebadilika baada ya kuwavuruga wangapi?Sasa mbona tukibadilila nyie bado mnaendelea kutupanga foleni?
Lini mmebadilika? Tumeshapangwa sana Hadi tumezoea na mnaenda mbali zaidi mnasema nature yenu tunawaangalia tu. Nani kakuambia sie tunaridhika na mwanaume mmoja hatutamani? Ni vile mwanamke amefundishwa heshima na kutokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya mumewe but unapoona huthaminiwi na uvumilivu wote matokeo yake ndio haya. Tutawapanga mpka mtuue mbaki wenyewe.Sasa mbona tukibadilila nyie bado mnaendelea kutupanga foleni?
Hebu nikae kimya kuhusu hili maana sio madaHasara mnapata wote,yeye kaingiza mwenye mavi wewe unatembea umeweka matambala mavi yasikutoke,,alafu hata kucheka huruhusiwi zaidi ya kutabasam tu,maana ukicheka 0713...nayo inacheka na mimavi hiyo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mnafanya jitihada zipi kuwaokoa wenzenuSijamaanisha upungufu......wanaime wengi wamegeuka kuwa wadada
Mimi tayar nilishanyolewa saiv nipo poa kabisa nawashaur wanaume wenzangu tuUmebadilika baada ya kuwavuruga wangapi?
Sasa inabidi utulie kama unanyolewa maana it will take time kama ambavyo ilichukua muda kwa wanawake kubadilika. Taratibu mtabadili dunia[emoji23]
Kwakwel Dada yangu kwa hii hatua mliyofikia sidhani Kama Kuna mwanaume MWENYE akili timamu atakuja kuwaamini Tena, naomba nisisitize kidogo WANAUME HATUTAKIWI KUWAAMINI WANAWAKE HATA CHEMBE. Mi saiv mpenz wang huwaga namwangaliaga tu anavojiongelesha Wala hata sibishani nae ila moyoni najisemea tu(sikuamini)Lini mmebadilika? Tumeshapangwa sana Hadi tumezoea na mnaenda mbali zaidi mnasema nature yenu tunawaangalia tu. Nani kakuambia sie tunaridhika na mwanaume mmoja hatutamani? Ni vile mwanamke amefundishwa heshima na kutokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya mumewe but unapoona huthaminiwi na uvumilivu wote matokeo yake ndio haya. Tutawapanga mpka mtuue mbaki wenyewe.
And the vice versa is so true. Usidhani unaaminiwa hapo ulipoKwakwel Dada yangu kwa hii hatua mliyofikia sidhani Kama Kuna mwanaume MWENYE akili timamu atakuja kuwaamini Tena, naomba nisisitize kidogo WANAUME HATUTAKIWI KUWAAMINI WANAWAKE HATA CHEMBE. Mi saiv mpenz wang huwaga namwangaliaga tu anavojiongelesha Wala hata sibishani nae ila moyoni najisemea tu(sikuamini)
Waeleze ila vichwa ngumu sidhani Kama watakuelewaTumeshawaruhusu waujue udhaifu wetu unategemea nini lazima wacheze mule mule na mwanamke akishajua kucheza na udhaifu wa mwanaume ndo basi tena matokeo yake ndo haya wanaume tunakuja kulalamika humu mitandaoni tumeshakaririshwa kuwa wanawake ni viumbe wapole na wavumilivu ambalo ni kweli
Na tumeshazoea kuwaonea na kuwasimanga bila kujua mwanamke akiamua kulipa kisasi na kuwa katili hata shetani mwenyewe anakaa pembeni kuchukua mafunzo mwanamke anaweza kukuua huku anakuchekea but all in all mwanamke atareact kutokana na vile mwanaume wake anavyomtreat