Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

Wanaume wenzangu tokeni nje ya box

buzitata

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2017
Posts
2,323
Reaction score
7,772
Habarn wandugu


Guyz ngoja niende Moja kwa Moja kwenye mada

Nimeona wanaume wengi wanaumizwa na mapenzi even me, tunaumizwa kwa kujua au kwa kutokujua Kama tunaumizwa

Hawa wanawake saiv sio Kama wale wa zaman so unapokua na mwanamke tafadhari Sana kuwa makin, naomba nitilie mkazo hapa WANAUME TUWE MAKINIIIII✍✍✍

Hawa viumbe saiv wamekuwa wajanja Sana yaani unaweza ukawa naye na ukahisi upo peke yako ila tuwekane sawa Hawa viumbe wanakuaga na mahusiano na watu wengine tofaut na tunavofikiria

Unapokua na mwanamke(kwa wale ambao hawajaoa) inabid uiweke akili yako sawa KWAMBA haupo peke yako hata kama anakuambia maneno gan sijui, kaa ukijua Hawa viumbe wanauwezo mkubwa was kutunza Siri tofaut na tunavowafikilia. Unaweza ukamuona mwanamke wako yupo na wewe Kama boya vile ila ukweli wewe ndio boya yaan anakuchora tu unavovimba limkichwa lako ukihisi wewe ndo kidume Tena dume la nyani kumbe maskin ya mungu ukwel ww ni Kama kumbikumbi tu ila hujijui

Huwaga wanakauli Moja HV et sijawah kupenda ila wewe ndo nimetokea kukupenda, wengine watakuambia et huji kupata mwanamke Kama Mimi, my friend be very careful with this word, mwingine atakuambia wewe ndo mwanaume unaweza kumfikisha kunako na wewe basi unajiona ndo mgongaji Bora wa mwaka, wao wanakuchora tu na ww unazid kuvimbisha Hilo limkichwa lako utafikiri nguruwe dume

I'm warning you be very careful,. Kutokana na mfumo wa maisha wa Sasa ni wanaume wachache Sana wanaoweza kumtosheleza mwanamke huu ni ukwel mchungu Sana na ni ngumu kidume KUAMINI kwasababu wanaume always tunapenda kusifiwa kwamba tunaweza ngono ila ukweli ukweli utabak mioyon mwa wanawake wenyewe.

Nimeandika hayo including me japo vitu vng naweza fanya kwa mwanamke ila hyo hainipi kiburi Cha kuukataa ukweli mchungu narudia Tena Huu NI UKWELI MCHUNGU SANA.

vijana msijihangaishe na madawa ya kuongeza nguvu za kiume Ili muendane na falsafa ya kuwa vidume wa kuwatosheleza wadada coz hayo madawa ndo yamewafanya wamama leo hii watembee na watoto wadogo coz waume zao walishajiharibu na hayo madawa kwa kuwaridhisha wanawake ambao nw hawapo nao kwenye mahusiano

Usiharibu mwili wako Wala pesa zako ili kumteka mwanamke Hawa viumbe kaa ukijua wamekuweka foleni

Experience is powerful than qualification, leo nimeona niwakumbushe tu ile experience niliyonayo juu ya Hawa wapenz wetu wa kike

BUZITATA HALICHUNWI HATA KWA LIMBWATA LA KITANGA
 
comredi ushauri wako nimeuchukua na nakuhaidi nitaufanyia kazi ..over
 
I wish hizi effort zingetilia mkazo vijana muamke mupige hela sio kulilia mapenzi.

Mapenzi hapo na mtayalilia sana lakini bora uyalilie ukiwa na senti mfukoni azawais utaonekana mwehu tu.
 
Mahusiano nw days yamekua magumu sana japo wenye misimamo na mapenzi ya dhati wapo....nanyi wanaume ni waongo sana basi na sisi ndo tunajifunza kupitia kwenu ...nanyie mmetupanga kama foleni ya madumu me naona tuendelee tu kudanganyana mpka akili zitukae sawa....
 
I wish hizi effort zingetilia mkazo vijana muamke mupige hela sio kulilia mapenzi.

Mapenzi hapo na mtayalilia sana lakini bora uyalilie ukiwa na senti mfukoni azawais utaonekana mwehu tu.
Sawa..!
 
Kwani wanaoliwa wamebakwa si wamependa wenyewe, Tena wengine wanalilia kabisa? Humkomoi mtu Kama kafanya kwa Raha zake. Hasara unapata wewe unayeingiza dudu lako la thamani kwenye mavi.
Ndo hivo sasa waambie na wenzio
 
Mahusiano nw days yamekua magumu sana japo wenye misimamo na mapenzi ya dhati wapo....nanyi wanaume ni waongo sana basi na sisi ndo tunajifunza kupitia kwenu ...nanyie mmetupanga kama foleni ya madumu me naona tuendelee tu kudanganyana mpka akili zitukae sawa....
Vichwa vya familia vimeyumba basi kiwiliwili kinakwenda mrama.

Its like tunaishi kwa kukomoana ilimradi tu.
 
Back
Top Bottom