Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Sema kwa namna mlivyokutana we jilie vyako ila kuwa makini na vizinga, kumbuka kinga mkuu"Nilitaka kutuma bro tarehe 30, yeye akasafiri 29 bila hata maelezo hela kapata wapi napewa tu info. Kwamba nakuja uko nikajua Leo nacheka na papuchi. Suddenly nimelala apeche
Bro mbali na apo nilikuwa na mipango nae kede kede mingine bila yeye kujua. But since anze trip ya kurudi uku simu zinaita Kama young lunya mi nimeona nisionyeshe Nina njaa ya uchi nime cut off. AsijeSema kwa namna mlivyokutana we jilie vyako ila kuwa makini na vizinga, kumbuka kinga mkuu
...labda Sina zali, ninaposema Sasa nijenge kiota nitulie na mwenza Wana wanakata matawi.Malaya Huyo.
Ng'ombe wa kuchinja
Achana nae
Ushamgonga gonga.
Kama huamini Endelea nae .
Kila siku tunapoteza Vijana mahiri.
Anamchezeaje akili wakati kutombewa ni mambo ya kawaida tu.Nakushauri usimuache huyo mwanamke... Muoe muweke ndani kutombewa mambo ya kawaida tu...
wewe nawe inaonekana ni kilaza kwenye mapenz ndio maana huyo mwanamke anakuchezea akili...
Pole sana mkuuBro mbali na apo nilikuwa na mipango nae kede kede mingine bila yeye kujua. But since anze trip ya kurudi uku simu zinaita Kama young lunya mi nimeona nisionyeshe Nina njaa ya uchi nime cut off. Asije
I don't know buddy, i question your instincts what makes you feel she is cheating on you?Habarini!
Kuna bidada, tulikutana December 20 mkoani ,tukawa Safari moja iliyotulazimi kutumia 48hrs together. Tukaangukia kwenye mahusiano baada ya chemistry yetu. Tulikuwa Safari moja maana tunaishi mkoa mmoja wilaya tofauti.
Since December kutokana na ratiba zangu kubana tulikutana mara moja alikuja kwangu.. japo huwa anapenda kuja.mahusiano yalikuwa seriously tukisaidiana vitu vidogo vidogo. But toka December Ali nifamahisha kuwa atakuwa na Safari ya dodoma kwenda kuchukua vyeti vyake vya taluma hivyo tukapanga atakavyokuwa tayari kwenda atapitia apa kwangu ikawa okay.
Tarehe 28/3/2023 alisema ruhus imetoka hivyo anaomba assistance ya 150,000k Kama nauli , nikajibu okay nitakupa tarehe 30.akijibu sawa. But tarehe 29 mchana akanitext..
Yeye: "Uko home.. nakuja huko ili asubui nipate gari la moja kwa moja nikitokea huku nitachelewa"
Mimi:" sawa, nipo home mwenyewe.. karibu sana baby"
Yeye: "thanks but Niko na rafiki yangu , nae anaenda dodoma hivyo tutalala lodge"
Mimi: "kwani stand mbaka kwangu si karibu ni umbali wa dakika 10 nauli 1,000 au hutaki kulala kwangu, mje mlale mbona unapajua?"
But toka hapo text zikawa hazipokelewi ila kwangu zinaonekana zimeenda.. mida ya jioni kabisa toka asubui ya saa 5, akanitext saa 12
Yeye:"tumefika..."
Mimi :" sawa saa ngapi & mbona ulikuwa hupatikani?"
Yeye:" saa 10, mtandao ulikuwa m'bovu sorry"
Mimi :" sawa nipange ? Unakuja kuniona?"
Baada ya apo sikupokea text toka kwake even ya goodnight..
Kukakucha, sikuona haja ya kushoboka, nikachuna nimsikilizie maana nilitegemea angeniambia amekata tiketi gari gani? Kaondoka saa ngapi asubui lakini ikawa kimya mbaka jioni nikapokea text kuwa amefika.. sikutaka kuuliza vipi huyo mwenzako lakini mawasiliano yakawa hamna . Amekaa kule siku tatu anachokifanya ni kunitext tu no calls Kama ni call mchana au jioni but usiku hapatikani
Sasa ameshachukua cheti, anarudi yupo safarini muda wote call kuwa ndo aje home kuniona, & kuwa amenimiss .
Binafsi nimeona niuchune tu, maana Kama alikuwepo ambako Niko , Tena kwa umbali wa buku tu pikipiki hakuona haja akalala lodge na huyo aliosema mwezie Sasa Leo yuko alone ndo aje . Toka asubui sijapokea simu yake maana nimeona huu ni usaliti wa wazi kabisa na kunikosea heshima maana kivyovyote vile lazima alikuwa na mwamba, Kama ingekuwa yuko na mwezake wa kike ile jioni alivyowasili asingeweza kulala kule bila kuonana na Mimi .
Nauliza je Kuna umuhimu wa kuonana nae , na hii kitalamu imekaaje
Tulia Mwamba unajikuta unajua kupenda sana na kujali sio .... Tafta hela hommie Kula mademu wakali sana......labda Sina zali, ninaposema Sasa nijenge kiota nitulie na mwenza Wana wanakata matawi.
Dah.. !!Kwenye hiyo 150k,,,toa 30000 tuu kajipongeze kwa k vant kubwa na Kitimoto rost kilo ½,,,na maji makubwa ya dew drop ya bariiidii!!!,,Nipasie namba za huyo binti kama hutojali??
Bro bado sijapoa , pia means kwamba mwamba aliyenitombea ndo yuko appreciated sana kwa bibie sio?Pole sana mkuu
Tafuta mnyonge wako....labda Sina zali, ninaposema Sasa nijenge kiota nitulie na mwenza Wana wanakata matawi.
Bro ku think positive naweza je , bibie imekaaje asafiri na mwanamke mwenzake.. wafike niliko na ashindwe kuja kuniona ? Wakati ni watu wapenzi Tena mawasiliano ni ya muda wote? Kuthink kwamba alichoka na mwendo , kwamba anlshindwe kukodi boda nije nilipie nimle ndo akalale huko ni kujiandanganya binafsiI don't know buddy, i question your instincts what makes you feel she is cheating on you?
I myself have the most worst habit , i sometimes don't text especially when i'm traveling but as soon as I reach my destination i let people know,
I think good thing is what she did, to inform you of her arrival.
Don't take it too personal, it might be your weakness later on your insecurity
I advice you to think positive on this one
Just once else utakua wamtafutia sababu.
Copying, buddy.Tulia Mwamba unajikuta unajua kupenda sana na kujali sio .... Tafta hela hommie Kula mademu wakali sana...
Muda ukifka utaoa tu ... Usikurupuke kindezi utaoa LiMalaya kama Hilo liongo liongo utagongewa mpk ufe.
Mbaka hapa Sina kwakweli, nimeamua kupindua king'amuzi tu.Si huwa mnasema hakuna mwanamke mwenye mwanaume mmoja sasa mnaulizana nini (natania [emoji2][emoji2]) Kama imani nae huna tena bora umuache mapema tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisikilize kijana.Dah roho inauma mbaka kifua.. afu nimeona ni dharau ya karne yani atoke kule aje atombewe wilaya ambayo nipo!
Unamdanganya.Achana naye endelea na maisha yako.