Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau.
Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihusisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.
Source: BBC
Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihusisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.
Source: BBC