Wanaume wenye upara hatarini zaidi kupata maradhi ya moyo

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Jul 31, 2017
1,606
1,956
Wadau.

Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihusisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.

Source: BBC
 
Wadau.

Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihisisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.
Source: BBC
Doooh, tafiti hizi hatari sana!
 
Wadau.

Utafiti uliofanywa na Idara ya magonjwa ya moyo barani Ulaya umeonyesha kuwa wanaume wenye vipara na walio na nywele za rangi ya kijivu wapo katika hatari kubwa zaidi ya kupata maradhi ya moyo kuliko wanaume wenye nywele kichwani.Utafiti huo ulihisisha vijana 2,000 na ulifanyika nchini India.
Source: BBC

Hakuna utafiti hapo, tunakuwa na tunazeeka halafu tuna kufa binadamu wote. This is cycle of life. Tukiwa na stress au genetics genes tunaweza kupata mvi au kipata tukiwa wadogo. The rest is just natural for example most of us we all be dead in 60 years times. And young ones and people are not yet to be born will take over. Cycle of life moves us all on.
 
Utafiti umefanywa na idara ya utafiti huko Ulaya, lakini umefanyika India. Sasa hiyo sample inajitosheleza kuuelezea ulimwengu wote?
 
Wahindi lazma wapate ugonjwa wa moyo maana waanakula mafuta kwa wingi sana & pilipili san
 
Back
Top Bottom