Wanaume wenye huruma

Labda huyo mwanamke sister doo, yupo kwa maslai yake binafsi. Kiufupi anajiuza kwako, hata kama mkeo yupo hivo basi jua umeoa, hasiekupenda kweli anapenda pesa.
Huyo sio mwanaume ni ke tena mke wangu tafadhali mwite shemeji kama wew ni me na kama ww ni ke mwite wifi
 
Labda huyo mwanamke sister doo, yupo kwa maslai yake binafsi. Kiufupi anajiuza kwako, hata kama mkeo yupo hivo basi jua umeoa, hasiekupenda kweli anapenda pesa.
Pesa ndo medium of exchange, bila pesa maisha yanakwendaje? Wapo watu ambao wake zao wamewakimbia kwa sababu hawana hata pesa za kumudu mahitaji makuu ya msingi ya mwanadamu, wachilia mbali wale wanaojiuza, kama mwanaume hana pesa mapenzi atayasikia kwenye bomba
 

Hao ni sister duu. Afu inabidi ujue tofauti ya sister duu, mmalaya na changudoa. Na kama unadandia hawa watu, daaah umepotea njia.
Kina wema sepetu kweli wapo wengi,,, Husifananishe na wanawake wanaojitambua na kujiheshm.

Na kama your mother alikuwa hivo kwa baba yako,, jua mama yako hakumpenda baba yako kwa dhati, hivo unaweza kuona ni kawaida kumbe si kawaida.

Hata mtoto mama yake kama ni changudoa, unajua yule mtoto anafikiri mwanamke kujiuza ni kawaida, ingawa si kawaida.

Nafikiri unahitaji elim tosha, i change your mind. Au inabidi uishi mazingira mengine sio hayo ulioyazoea ya kisister duu
 

Mi sihitaji elim, ukweli nna uona na nna ujua.
Yaan the moment unajifanya gentleman ndio the moment unapewa madharau.
*wachache wanao thamini kupendwa hawawezi kosa ila wengi ni shdaa
 

Mi sihitaji elim, ukweli nna uona na nna ujua.
Yaan the moment unajifanya gentleman ndio the moment unapewa madharau.
*wachache wanao thamini kupendwa hawawezi kosa ila wengi ni shdaa

sawa
 
***** yaan km unataka usidumu na mwanamke bas kua na sifaa nzuri za hapo juu kwenye post aloo atagongwa huyo hadi na mateja hlf atarudi kwako kuomba mrudiane
..kuna mwanamke hapendi mwanaume katili?kuna mwanamke hapendi mwanaume malaya?kuna mwanamke hapendi mwanaume mwenye sifa na mamlaka? nkama unataka umshauri mwanaume apendwe na wanawake wengi kwa mda mfupi mfundishe kua malaya,katili,mchoyo,muongo yaan huyo ht tongoza watakuja wenyewe
 
Yakhe! mie mpole ati....kumbe ndiyo tunatakiwa at, basi vzr......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…