Wanaume wenye experience na jambo hili naomba ndio wanijibu

easier said than done, yaani kwa uzoefu wangu hili jambo ni zito sana sio la kuchukulia kirahisi rahisi tu kwamba kama unampenda utavumilia, utamheshimu, and the like (kwa pande zote mbili)

Kinacholeta ugumu zaidi ni pale mwenza mmojawapo anapogundua kwamba alikuaw cheated kwenye hiyo hali...kwamba mtu anajua kabisa ana tatizo hilo ila anaaamua aingie kwenye ndoa huku akijua matarajio makubwa hasa kwa sisi familia a kiafrika ni watoto.
Tatizo linakuzwa zaidi na hali ya utoaji mimba iliyokithiri kwa baadhi ya kinadada, yaani anataka afaidi 'usichana' na anataka akishamaliza ndo atafute 'boya' limuoe na yeye awe na P.O.Box mjini hapa....sasa mwenza akijua alidanganywa ni rahisi sana kutafuta 'uzao' nje

Jambo jengine ni wazazi pande zote mbili kuwa wanaulizia wajukuu kila mara, kwamba ndoa ina miaka miwili bila mtoto tayari kelele zinakuwa zimeshaanza kwamba "mnasubiri tufe bila kuona wajukuu' ....hili naona pia lianchangia kushawishi kuchepuka nje....marafiki pia wanachangia..unajisikiaje kukaa na marafiki zako wanaongelea mambo ya shule, ada, kliniki nk wakati wewe hola

Nirudie kusema kwamba tusimhukumu yeyote anayechepuka kwa sababu hatujui hasa ni nini. kama alivosema mchangiaji mmoja hapo juu, love is not equal to sex....., na wakati mwingine kama akipatikana mtoto inasaidia kustabilise mahusiano maana wazee wanajua kuna mtoto 'mahali', na malalamiko yanapungua ndani kama waliioona na waelewa..LAKINI kama ndio wale wa strictly hakuna kuchepuka na wanaamini hivyo no matter what,hili litakuwa jakamoyo!

Ngoja niishie hapa kwanza, wakubwa wenzangu watakuwa wamenielewa

CC Asprin, snowhite Nicas Mtei

we Kaizer naona unapigia debe kuchepuka kijanja wewe! Otherwise utuambie hata wewe ukiwa na shida utaona ni sawa wife akichepuka....
 
Last edited by a moderator:
Huwa najiuliza sana kama cheating na upendo vinamahusiano!
Havina mahusiano kabisa
Pia siamini kuwa anaemcheat mke/mme anamaanisha hampendi mwenzi wake
Sio kila unachokiamini kiko sahihi
Mimi naamini hivi:
Unaweza ukaamini Obama ni ndugu wa bibi yako mzaa babu yake na shangazi yake bibi yako
Lakini haimaanishi kuwa ni kweli
Mtu anae cheat upendo ( mapenzi) ninaposema mapenzi namaanisha zile hisia za kufeel you love somebody,huyu kweli ni kwamba hampendi mkewe/mke lkn kunawatu wanacheat sex na sio upendo. You may have sex with a person you don,t love sijui kama walijua hilo mkuu
Unaujua upendo wewe?

Huwezi kudai unampenda mtu halafu wakati huo huo unamuaibisha

Nasema unamuaibisha kwasababu ifuatayo:
Ndoa ni muunganiko wa watu wawili waliokubaliana kuishi pamoja maisha yao yote wakishirikiana kila jambo,iwe ugonjwa afya n.k,watu hawa wameamua kuwa mwili mmoja hii inamaana kuwa itakachokifanya mmoja kimahusu mwingine kwa asilimia 80

Sasa kwa mtazamo huu unapokwenda kuvua nguo zako kwa mtu mwingine huoni kama unamuaibisha mwenzako?

Ukiachilia mbali hivyo kuna kanuni za maumbile ambazo ni ubinadamu,sasa ni ubinadamu gani unakuruhusu kwenda kuwavulia watu tofautitofauti nguo zako?

Hebu fikiria tu kuwa uanpita mbele ya wanawake/wanaume watano wanne kati yao wameshauona utupu wako,unajisikiaje?
Unakuwa na tofauti gani na mbwa au kondoo??
 
Ukimkosa mtoto ndo utajua thamani ya mtoto;
Unauliza mtoto kitu gani?????

Unakijua unachikizungumza wewe?

Assume tu kuwa nikakosa halafu nikawa wa hovyo hivyo,inabadilisha ukweli kuwa mtoto bado sio kigezo cha kufanya mambo ya hovyo?

Tatizo huelewi tofauti kati ya ukweli na mtu kuufuata ukweli

Naweza nikawa ninasema wizi sio mzuri,nitakuwa nimesema kweli
Lakini naweza nikaiba,hiyo haimaanishi nilisema uongo!!
 
Havina mahusiano kabisa

Sio kila unachokiamini kiko sahihi

Unaweza ukaamini Obama ni ndugu wa bibi yako mzaa babu yake na shangazi yake bibi yako
Lakini haimaanishi kuwa ni kweli

Unaujua upendo wewe?

Huwezi kudai unampenda mtu halafu wakati huo huo unamuaibisha

Nasema unamuaibisha kwasababu ifuatayo:
Ndoa ni muunganiko wa watu wawili waliokubaliana kuishi pamoja maisha yao yote wakishirikiana kila jambo,iwe ugonjwa afya n.k,watu hawa wameamua kuwa mwili mmoja hii inamaana kuwa itakachokifanya mmoja kimahusu mwingine kwa asilimia 80

Sasa kwa mtazamo huu unapokwenda kuvua nguo zako kwa mtu mwingine huoni kama unamuaibisha mwenzako?

Ukiachilia mbali hivyo kuna kanuni za maumbile ambazo ni ubinadamu,sasa ni ubinadamu gani unakuruhusu kwenda kuwavulia watu tofautitofauti nguo zako?

Hebu fikiria tu kuwa uanpita mbele ya wanawake/wanaume watano wanne kati yao wameshauona utupu wako,unajisikiaje?
Unakuwa na tofauti gani na mbwa au kondoo??

Nadhani hujaelewa vizuri kuhusu haya mambo.
Sex haina mahusiano na upendo bali sex ni hitaji la kimwili kama ambavyo mwili huhitaji chakula kingine vivyohivyo mwili huhitaji sex. Mwili haupendi mkuu bali kinachopenda ni roho.

Yatupasa kuchukua japo mda kidogo kutafakari haya mambo
 
tatizo wababa wa siku hizi mnachimba chimba sana...


hivi shemeji BADILI TABIA, unadhani ni kwanini utafiti unaonyesha kuwa 48% ya wanandoa walioenda kucheki DNA zao walikuta kwamba watoto sio wa kwao (wababa)?

Ninachojua wanawake ni wajanja sana, akishajua kwamba mambo nehi anachepuka descreetly anakuwa mjamzito mtoto ni wa kwako baaas,,,,aibu haipo tena hapo na heshima ya mume inaendelea kuwapo...wapo wengi tu wa namna hii hahitaji kumwambia.....kwa mwanaume ndo kasheshe
 
Mi ni msichana japo umeomba ushauri kwa wanaume. Upendo wa kweli huvumilia yote, na kama huwezi kubeba mizigo ya mpendwa wako basi wewe huna upendo wa dhati. Hivi kuna mtu anayependa asizae kwa muda ambao yupo tayari kuanzisha familia. Do you know how it hurts kuona wenzako wanaitwa baba au mama afu wewe huna hata dalili ya kushika mimba? Yote tisa, uje ujue mumeo kazaa nje ya ndoa coz wewe huwezi kuzaa for the meantime (hatujui utazaa lini au ndo hutozaa milele)

Men should stop taking things lightly. Hivi itakuwaje wewe uwe na matatizo ya uzazi afu ukagundua mkeo kapewa mimba na mwanaume mwingine, hivi utataka kweli ht kumuona huyo mwanamke? Na vipi utamlea kwa moyo huyo mtoto kama ambavyo nyinyi mnatuleteaga watoto wenu mliozaa nje tuwalee? Jamani na sisi wake zenu tuna mioyo ya nyama, mtuvumilie tu kwani hakuna anayependa asizae watoto. Tujifunze kubebeana mizigo (matatizo)

i agree! upendo ni kila kitu
 
Nadhani hujaelewa vizuri kuhusu haya mambo.
Sex haina mahusiano na upendo bali sex ni hitaji la kimwili kama ambavyo mwili huhitaji chakula kingine vivyohivyo mwili huhitaji sex. Mwili haupendi mkuu bali kinachopenda ni roho.

Yatupasa kuchukua japo mda kidogo kutafakari haya mambo
Soma nilichokuandikia uelewe ..!!
 
Asprin na Nicas Mtei muulizeni Kaizer kwanini ameniita huku!
saa na muda wangu haujafika au la umeshapita!

nakudai Kaizer tena yu will pay me very dearly!

hahahaa snowhite mwali mwangu punguza Munkari bana........nimekuita tu, kwa maana nimekumiss. kama nakudai mia, twaa hati yako andika themanini, ndo sera ya kupatana na mshitaki wako mapema kabla hajakufkisha kwa kadhi..
 
Last edited by a moderator:
kaka, unaposema tusimhukumu yeyote, una maana hata kama ni wewe ndio mwenye tatizo, wifi anaweza kuchepuka na kukushikisha tu na ikawa poa?
easier said than done, yaani kwa uzoefu wangu hili jambo ni zito sana sio la kuchukulia kirahisi rahisi tu kwamba kama unampenda utavumilia, utamheshimu, and the like (kwa pande zote mbili)

Kinacholeta ugumu zaidi ni pale mwenza mmojawapo anapogundua kwamba alikuaw cheated kwenye hiyo hali...kwamba mtu anajua kabisa ana tatizo hilo ila anaaamua aingie kwenye ndoa huku akijua matarajio makubwa hasa kwa sisi familia a kiafrika ni watoto.
Tatizo linakuzwa zaidi na hali ya utoaji mimba iliyokithiri kwa baadhi ya kinadada, yaani anataka afaidi 'usichana' na anataka akishamaliza ndo atafute 'boya' limuoe na yeye awe na P.O.Box mjini hapa....sasa mwenza akijua alidanganywa ni rahisi sana kutafuta 'uzao' nje

Jambo jengine ni wazazi pande zote mbili kuwa wanaulizia wajukuu kila mara, kwamba ndoa ina miaka miwili bila mtoto tayari kelele zinakuwa zimeshaanza kwamba "mnasubiri tufe bila kuona wajukuu' ....hili naona pia lianchangia kushawishi kuchepuka nje....marafiki pia wanachangia..unajisikiaje kukaa na marafiki zako wanaongelea mambo ya shule, ada, kliniki nk wakati wewe hola

Nirudie kusema kwamba tusimhukumu yeyote anayechepuka kwa sababu hatujui hasa ni nini. kama alivosema mchangiaji mmoja hapo juu, love is not equal to sex....., na wakati mwingine kama akipatikana mtoto inasaidia kustabilise mahusiano maana wazee wanajua kuna mtoto 'mahali', na malalamiko yanapungua ndani kama waliioona na waelewa..LAKINI kama ndio wale wa strictly hakuna kuchepuka na wanaamini hivyo no matter what,hili litakuwa jakamoyo!

Ngoja niishie hapa kwanza, wakubwa wenzangu watakuwa wamenielewa

CC Asprin, snowhite Nicas Mtei
 
Eiyer mdogo wangu, hujakutana na mtu anaempenda sana mkewe lakini mkewe akimkosea anampiga? all in the name of love?
mkewe asipotimiza matarajio yake ya kupokelewa mkoba akitoka kazini anamcheat? all in the name of love?
na kuna aliezaa 4 kids, tena wote wa kiume na still anakuwa cheated?
A cheater will use the easiest excuse for his or her behaviour. Period (hata cheating for revenge ni excuse tu)
Sijui ni uzoefu wa aina gani unauhitaji kwenye hili lakini mi naona hili linaweza kujibiwa na yoyote yule anaethamini ubinadamu

Kimsingi hakuna anaeweza kuwa na mapenzi na watu wawili tofauti
Mapenzi huenda na kuheshimiana pia
Huwezu kudai una mapenzi na mtu halafu una mwanamke mwingine huo ni uongo

Suala la kupata mtoto ni majaaliwa na mtu yoyote anaefikiri kidogo tu anaweza kuliona hilo
Kama mmekwenda hospital na kuangalia na mkaambiwa hakuna mwenye matatizo ni kwanini unamuadhibu mwenzako kwa adhabu ya kibazazi kama hii?
Kwanini usimuache tu akajua moja?

Kama wewe mtoa mada ni mwanamke tambua hapo huyo jamaa hakuwa anajua hata upendo ni kitu gani wakati anakuona na hajui upendo ni kitu gani

Wakati anakuoa alikuwa anakuona kama mashine ya kufyatua watoto na sio kweli kuwa alikupenda kama alivyokuwa anakuambia

Kama anakupenda ni kwanini afanye jambo la hovyo kama hilo?

Mtoto ni kitu gani hadi uamue kumfanyia mwenzako unyama wa aina hii?

Huwa sipendi sana hii .......!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
kaka, unaposema tusimhukumu yeyote, una maana hata kama ni wewe ndio mwenye tatizo, wifi anaweza kuchepuka na kukushikisha tu na ikawa poa?
In fact King'asti you just have to look around...kama umekulia mazingira ya kiafrika hasa kijijini utakuwa umeona na kusikia idadi ya watoto ambao wana majina ya baba fulani but sio biological children wao. sasa hapo unadhani anayechepuka ni nani kama sio wifi yako hapo baada ya kuona mambo magumu ndani?
 
Last edited by a moderator:
kaka, maswali mengi ila nataka kuelewa tu. kama cheating inafanyika in the name of kusaka mtoto (ambayo tunakubaliana mke ama mume anaweza kujifanyia tu kutokana na 'uhitaji' wa kiutamaduni), baada ya kupata mtoto mmoja ama watano, ule uchakachuaji unaisha ama tunaendeleza kimtindo?(
In fact King'asti you just have to look around...kama umekulia mazingira ya kiafrika hasa kijijini utakuwa umeona na kusikia idadi ya watoto ambao wana majina ya baba fulani but sio biological children wao. sasa hapo unadhani anayechepuka ni nani kama sio wifi yako hapo baada ya kuona mambo magumu ndani?
 
unajua haya mambo yanaitaji majadiliano tu na mwenzako.
sisi enzi hizo mama alikuwa anamleta mdogo wake amzalie mime watoto,yote hayo kumrizisha asitoke nje ya ndoa.
inakuwa sio poa baba kutoka nje kimya kimya kisa anatafuta mtoto.
wanawake wa siku hizi sio waelewa wanaona wao ndio wanajua kupenda sana.
mimi nona mfano mzuri tu,kuna shangazi yetu hakubaatika kupata mtoto kwenye ndoa yake,alichofanya ni kumconvice mume na mdogo wake,mdogo mtu akakubali na akamzalia mume watoto.
kuna sehemu inafikia unaweka mambo ya ndoa penbeni,eti mke mmoja for the benefit of your family.
 
In fact King'asti you just have to look around...kama umekulia mazingira ya kiafrika hasa kijijini utakuwa umeona na kusikia idadi ya watoto ambao wana majina ya baba fulani but sio biological children wao. sasa hapo unadhani anayechepuka ni nani kama sio wifi yako hapo baada ya kuona mambo magumu ndani?

Mbona unakwepa swali la msingi? Wewe Kaizer uko tayari mke wako wewe wa ndoa azae na mwanaume mwingine ikiwa wewe sperms zako haziwezi kuzalisha? Naona unakwepa mara oooh mila zakiafrika, mara oooh zamani kijijini oooh kuchapiwa siri ya ndani!!!!!!!!!....... jibu swali Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Havina mahusiano kabisa

Sio kila unachokiamini kiko sahihi

Unaweza ukaamini Obama ni ndugu wa bibi yako mzaa babu yake na shangazi yake bibi yako
Lakini haimaanishi kuwa ni kweli

Unaujua upendo wewe?

Huwezi kudai unampenda mtu halafu wakati huo huo unamuaibisha

Nasema unamuaibisha kwasababu ifuatayo:
Ndoa ni muunganiko wa watu wawili waliokubaliana kuishi pamoja maisha yao yote wakishirikiana kila jambo,iwe ugonjwa afya n.k,watu hawa wameamua kuwa mwili mmoja hii inamaana kuwa itakachokifanya mmoja kimahusu mwingine kwa asilimia 80

Sasa kwa mtazamo huu unapokwenda kuvua nguo zako kwa mtu mwingine huoni kama unamuaibisha mwenzako?

Ukiachilia mbali hivyo kuna kanuni za maumbile ambazo ni ubinadamu,sasa ni ubinadamu gani unakuruhusu kwenda kuwavulia watu tofautitofauti nguo zako?

Hebu fikiria tu kuwa uanpita mbele ya wanawake/wanaume watano wanne kati yao wameshauona utupu wako,unajisikiaje?
Unakuwa na tofauti gani na mbwa au kondoo??

Unachosema ni ukweli mtupu, lakini sijui kwanini baadhi ya watu hawataki kukuelewa!
 
Back
Top Bottom