neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
easier said than done, yaani kwa uzoefu wangu hili jambo ni zito sana sio la kuchukulia kirahisi rahisi tu kwamba kama unampenda utavumilia, utamheshimu, and the like (kwa pande zote mbili)
Kinacholeta ugumu zaidi ni pale mwenza mmojawapo anapogundua kwamba alikuaw cheated kwenye hiyo hali...kwamba mtu anajua kabisa ana tatizo hilo ila anaaamua aingie kwenye ndoa huku akijua matarajio makubwa hasa kwa sisi familia a kiafrika ni watoto.
Tatizo linakuzwa zaidi na hali ya utoaji mimba iliyokithiri kwa baadhi ya kinadada, yaani anataka afaidi 'usichana' na anataka akishamaliza ndo atafute 'boya' limuoe na yeye awe na P.O.Box mjini hapa....sasa mwenza akijua alidanganywa ni rahisi sana kutafuta 'uzao' nje
Jambo jengine ni wazazi pande zote mbili kuwa wanaulizia wajukuu kila mara, kwamba ndoa ina miaka miwili bila mtoto tayari kelele zinakuwa zimeshaanza kwamba "mnasubiri tufe bila kuona wajukuu' ....hili naona pia lianchangia kushawishi kuchepuka nje....marafiki pia wanachangia..unajisikiaje kukaa na marafiki zako wanaongelea mambo ya shule, ada, kliniki nk wakati wewe hola
Nirudie kusema kwamba tusimhukumu yeyote anayechepuka kwa sababu hatujui hasa ni nini. kama alivosema mchangiaji mmoja hapo juu, love is not equal to sex....., na wakati mwingine kama akipatikana mtoto inasaidia kustabilise mahusiano maana wazee wanajua kuna mtoto 'mahali', na malalamiko yanapungua ndani kama waliioona na waelewa..LAKINI kama ndio wale wa strictly hakuna kuchepuka na wanaamini hivyo no matter what,hili litakuwa jakamoyo!
Ngoja niishie hapa kwanza, wakubwa wenzangu watakuwa wamenielewa
CC Asprin, snowhite Nicas Mtei
we Kaizer naona unapigia debe kuchepuka kijanja wewe! Otherwise utuambie hata wewe ukiwa na shida utaona ni sawa wife akichepuka....
Last edited by a moderator: