Igeuze baba yako ndiye mgumba, halafu mama yako analalwa na baba mdogo au mkubwa ili mama asitoke nje ya ndoa kutafuta watotounajua haya mambo yanaitaji majadiliano tu na mwenzako.
sisi enzi hizo mama alikuwa anamleta mdogo wake amzalie mime watoto,yote hayo kumrizisha asitoke nje ya ndoa.
inakuwa sio poa baba kutoka nje kimya kimya kisa anatafuta mtoto.
wanawake wa siku hizi sio waelewa wanaona wao ndio wanajua kupenda sana.
mimi nona mfano mzuri tu,kuna shangazi yetu hakubaatika kupata mtoto kwenye ndoa yake,alichofanya ni kumconvice mume na mdogo wake,mdogo mtu akakubali na akamzalia mume watoto.
kuna sehemu inafikia unaweka mambo ya ndoa penbeni,eti mke mmoja for the benefit of your family.
Igeuze iwe mjomba wako ni mgumba! Halafu Shangazi ashauriane naye azae na mjomba mdogo ili kuficha aibu ya mjomba asiyezaa!
Iweke pia kwa namna hii wewe ni mgumba mke wako ashauriane na wewe alale na kaka yako ili mpate watoto! Washambulie wanawake iwapo jamii nzima imekubali kwamba mke au mume asiyezaa ni jambo la heri kutafuta replacement ili watoto wapatikane, halafu wanawake wakatae ndo uwanyoshee vidole! Otherwise huna right hiyo!