Wanaume wengine majanga

Wanaume wengine majanga

Mwache hivyo hivyo, wengine hawajui tofauti ya mtu kuwa flirtatious na ambaye interested....sio kila anaekutania au kukusifia anakutaka, wanawake wenzangu amkeni.
 
Namzungumzia rafiki yangu wa karibu sana namfahamu in and out. Hakuna anachoweza kufanya nisijue

Kwa sura yuko very handsome, na ni mzungumzaji sana.

Sasa jamaa ni mjuzi sana wa kujichanganya na watu. Nikitembea naye, tukikutana na watu hata kama hatufahamiani unakuta kashaanzisha mazungumzo.

Linapokuja suala la michepuko jamaa anapendwa sana na wanawake mpaka nashindwa kuelewa huwa anawafanya nini. Akitaniana na mdada tuu ujue demu kashaingizwa kwenye line.

Kasheshe inakuja anapokubaliwa request yake anaanza kupiga chenga, mara aje aombe ushauri, mara amfanyie tathmini, na sababu kibao. Kati ya wanawake watano ataishia kupiga mzigo mmoja. wengine anawapotezea.

Hili jambo huwa linawaudhi sana wanawake, sometimes ananionyesha msg wanazomjibu, mpaka inakuwa kero

Nipeni wazo nimshaurije huyu mtu. Wakati mwingine najaribu kujiweka mbali naye lakini inakuwa ngumu kwa sababu nafanya naye kazi pamoja.

Ndio starehe yake hiyo!
 
Jamaa sio bwabwa i kno the situation and expiriance too,kutokana na sifa ulizotaja hapo kua funny guy and hb hopely kila dem atataka kua nae so kinachokuja ni wingi wa machaguo na qualification zako,kama unapenda madem weupe alafu wakaja madem watano wote weusi mweupe mmoja tu kwa nn usipige huyo mmoja,ingekua hajawai kupiga sawa.
 
hahahhaah!! acha 2 mkuu wanaume wazuri wanatabu jaman.... uzalendo ulnishnda bana, nyanya chung hazikuingia bana m mwenyew tundu la sindano, uzi unapita kwa shida sembuse kibamia hahahahhahh.... ila sikumfaidi wala nin
 
Jamaa yako ni nyuki wa canteen haumi kazi kulamba sukari....
utakuta hata huyo mmoja hadonoi wala nini show off tu mjue kala, na usikute ni jogoo wa kuchora hawiki!!

Hakyanani haya maneno ya kwenye kanga haya! Ukimwi hautoisha kwa mwendo huu. Mwanaume gani atakayekubali kuambiwa hivi? Especially from a lady!
 
Dah! Binadam bhana ,
. Ukiwa unawafolenisha hawaachi kukusema,
. Kama hujihusishi nao kabisa watakuita joka la kibisa
. Ukienda nao mdogo mdogo et nyuki wa canteen.
Sijui mtu aweje
Nisaidie kushangaa!!!
 
Hakyanani haya maneno ya kwenye kanga haya! Ukimwi hautoisha kwa mwendo huu. Mwanaume gani atakayekubali kuambiwa hivi? Especially from a lady!

sasa kama kazi kusindikiza sindikiza tu mademu nsiseme? escorter tu huyo
 
sasa unataka akugaie au?? hebu mtest channel O,,,​ akikupa gonga....wote nyie si wahuni tuu...
 
Evelyn we ni noma mm ni mgeni lkn kila nikifuatilia comment zako hakuna inayoboa, big up
 
Hivi wewe ni rafiki yake kabisaa?Unataka awe na wanawake wote watano?

Sihitaji marafiki na labda akitokea ni wa story tu tena za chelsea kapigwa goli tano au simba jana imeshinda
 
Back
Top Bottom