Wanaume wengine majanga

Wanaume wengine majanga

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
996
Reaction score
776
Namzungumzia rafiki yangu wa karibu sana namfahamu in and out. Hakuna anachoweza kufanya nisijue

Kwa sura yuko very handsome, na ni mzungumzaji sana.

Sasa jamaa ni mjuzi sana wa kujichanganya na watu. Nikitembea naye, tukikutana na watu hata kama hatufahamiani unakuta kashaanzisha mazungumzo.

Linapokuja suala la michepuko jamaa anapendwa sana na wanawake mpaka nashindwa kuelewa huwa anawafanya nini. Akitaniana na mdada tuu ujue demu kashaingizwa kwenye line.

Kasheshe inakuja anapokubaliwa request yake anaanza kupiga chenga, mara aje aombe ushauri, mara amfanyie tathmini, na sababu kibao. Kati ya wanawake watano ataishia kupiga mzigo mmoja. wengine anawapotezea.

Hili jambo huwa linawaudhi sana wanawake, sometimes ananionyesha msg wanazomjibu, mpaka inakuwa kero

Nipeni wazo nimshaurije huyu mtu. Wakati mwingine najaribu kujiweka mbali naye lakini inakuwa ngumu kwa sababu nafanya naye kazi pamoja.
 
hiyo huwa inatokea mkuu...... kuna wanawake wengine ukimbeep kidogo tu anakuja kwa speed ya hatari mpaka mtu unaanza kugwaya. kabla wewe hujamchunguza vya kutosha yy keshatangaza kwa kila mtu kuwa ww ndo hubby.
 
Jamaa yako ni nyuki wa canteen haumi kazi kulamba sukari....
utakuta hata huyo mmoja hadonoi wala nini show off tu mjue kala, na usikute ni jogoo wa kuchora hawiki!!

Shikamoo Evalyn .
 
Last edited by a moderator:
Bila ya kuficha huyo jamaa yako ni PUNGA a.k.a BWABWA a.k.a MTOTO WA WATU a.k.a SIO RIDHKI a.k.a MCHELE MCHELE.......
 
Jamaa yako ni nyuki wa canteen haumi kazi kulamba sukari....
utakuta hata huyo mmoja hadonoi wala nini show off tu mjue kala, na usikute ni jogoo wa kuchora hawiki!!

Ahahaa...... mkuu Evelyn SALT ni kweli huyo jamaa nadhani inabidi aitathmini mashine yake kama ipo katika ubora ule ule au lah...
 
Last edited by a moderator:
Mulete kwangu ninadawa ya kuondoa saundi za kukwepa hao wadada mkuu
 
Dah! Binadam bhana ,
. Ukiwa unawafolenisha hawaachi kukusema,
. Kama hujihusishi nao kabisa watakuita joka la kibisa
. Ukienda nao mdogo mdogo et nyuki wa canteen.
Sijui mtu aweje
 
Back
Top Bottom