Wanaume wengi wanapenda taarabu

Wanaume wengi wanapenda taarabu

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,487
Reaction score
65,822
Hellow

Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki huu.

Na hili nimeliona kwenye sauti za busara wanaume tulikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Na hata Dogo Janja juzi kapost kwenye wasp status akicheza taarabu

 
Huwa hawapendi taarabu ila wanapenda yanayotokea kwenye Taarabu Since % kubwa ya wanawake wanaokua kwenye hizi Taarabu sio vimbaumbau.
Wanafata kubambia

dah sikujua ilo mimi nilienda kwa lengo la kupunguza stress za ban
 
Hellow

Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki uhu

Na hili nimeliona kwenye sauti za busara wanaume tulikuwa wengi sana kuliko kawaida

Na ata dogo janja juzi kapost kwenye wasp status akicheza taarabu la
Dah Taarabu bwana mimi napenda hasa za Isha mashauzi ila sasa shida mikoani taarab hawapig bar

Lakini wanaamini taarab ni za wanawake ila mimi sitaki kuamini ninachojua ni mziki mzuri tu.
 
Hellow

Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki huu.

Na hili nimeliona kwenye sauti za busara wanaume tulikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Na hata Dogo Janja juzi kapost kwenye wasp status akicheza taarabu

View attachment 2520103
Mimi huwa nikiona mtu anahereni,amesuka nywele kwa namna yoyote ile au ameweka brech baasi huyo ni mwanamke,huyo kwenye video ni mke wa mtu

USSR
 
Write your reply...kabisa nisikilize taarabu,duh si ushoga huo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom