Wanaume wengi ni wajinga

Hivi wewe Cute Cindy unajua maana ya kumtoa mtu "outing"???

Ukiwa na 10,000 unamnunulia mtu chakula na sio Outing. Na pia sio hela ya mwanaume kutoa kwa ajili ya mwanamke na kuja kulia lia.
 
Nilivyosoma heading nilipanic nilivyosoma uzi nimekubali kabisa Kama Ni sisi tunafanya haya basi Ni wajinga
 
Tena siyo sehemu ya maana , ni zile chips za barabarani kwenye mabanda. Unanunua unakaa kwenye bench la mabanzi, au unafunga unaenda kulia nyumbani.

Sasa hapo mtu na 10,000 anakwambia babe jiandae jioni tunatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Savanna moja hyo....sasa unakuta ngoma inapiga savanna 4, bado hajapata samaki makavu na tuchips tuwiwil tutatu..
 
Acha umbea mtoto wa kiume.
 
Tena siyo sehemu ya maana , ni zile chips za barabarani kwenye mabanda. Unanunua unakaa kwenye bench la mabanzi, au unafunga unaenda kulia nyumbani.

Sasa hapo mtu na 10,000 anakwambia babe jiandae jioni tunatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
🤣🤣🤣 Dah.. "Chips funga"
 
True kabisa halafu yule mdada aliyekisaidia kama kakusomesha kakugharamia kwa kila kitu hujui alijinyima mangapi ila wewe unaenda oa mwingine ambaye hajakugharamia chochote.
Halafu unaenda kudhania utamwoa hata na yeye atakuchuna nakukuacha kabisa na utabakia mtupu chote ulichosotewa na wazazi au yule mdada uliyemliza laana zao zote zitakupata na wala hutokaa uendelee acheni kuwa na roho mbaya wanaume wakileo kuweni na utu mioyoni mwenu.
Kabisa maisha ni utu mengine yanafuata.
😳😱😱😱
 
Naomi alifanya kosa gani kwa mumewe?
 
Kwa hayo yote unawaona ni wajinga [emoji44][emoji44][emoji44]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…