Wanaume wengi humu sio waaminifu ni ngumu kupata mwenza

mamiake

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
270
332
Nilitumwa na mteja wangu mmoja kumtafutia mume huku nikaweka masharti tu ya kueleweka

Matokeo yake nimeingia fedheha kubwa kumbe mwanamme niliempeleka ana mke na watoto 3 hawajaachana tena wanaishi pamoja.

Inakuwa ngumu kwa vijana kutumia fursa ya forum hii kupata wenza kwa sababu wengi sio waaminifu.

Mtu umeoa una mke unataka nini tena ?waachie wenye shida zao.
Kwenye forum hii ukitaka kumshtaki mtu serias unapeleka wapi malalamiko? nadhani adhabu kali itolewe kwa hawa watu
 
Ahaaaaaaaaa wanaume wa mitandaoni? Dada ulikuwa umerogwa na nani? Kweli jf ukutane na mwanaume? Sio rahis pole! Wanaume wa jf ni kushare social life tu na niwazuri kwa urafiki wa kawaida mengine ni stori.
wapo kibao waliokutana nao
 
Acha mbwembwe binti, we umeshachalazwa hiyo "K" na hakuna pa kushitaki maana ulivua kyupi mwenyewe na ushahidi upo.... o_Oo_O
 
Fake ID, Fake story, Fake Complaints.......

Mleta mada utaficha ficha ukweli mpaka lini ??

Pole sanaa though ndio ukubwa huo. Tehe
 
Back
Top Bottom