Nazidi kuwaona wahusika badiliken aiseeee hizo tabia sio hakuna mimi kutendwa wala kubwagwa tena imeongezeka na nyingine nyinyi refu jeupe ni wachoyo pia daaah
TE="Rjjuniour, post: 20556987, member: 426022"]Unasema uzuri pesa huku unasema kitandani zero, ww mwenyewe hujui nn unahitaji kwa wakati gani.[/QUOTE]
Hahaha humu kila anayejisikia kupost apost, chochote kile pumba na ngano vyooote
Wacha we, utakuta ulionesha dalili za kumtaka mkaka ambae ni mrefu na mweupe, halafu akakupotezea kimtindo au akakukataa kabisa ndo maana ukaja humu kumuanzishia thread Principle girl
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
We sema unatabia ya kujitongozesha ukiona mwanaume mweupe,sasa ubaya wake ni kwamba ht km mwanaume anajua mapenzi ukijileta no romance unapigwa dudu na kumwagwa siku hiyo hiyo ...mimi mweusi tiii na mrefu asante...
hiyo tafiti yako umeifanya kwa watu wangapi ebu tupe sample ya idadi uliyoitumia kupta best result coz nijuavyo mm ukiwa na sample kubwa na result uipatayo ni lazima itakuwa nzuri