tekategula
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 97
Kwahiyo ndo umeamua kumpa makavu liveKwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Sifa ya mtoa uzi huuKwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Wamevurugwa hawa, hata kinyonga habadili rangi hovyo namna hii.Akili ndogo saana..... Etu uzuri wa mwanaume pesa.....hapo hapo unalalamika mara kitandani hamna kitu....
Sijui Ni nan aliyewaroga baadhi ya wanawake hawajui nn wanataka in relationship.....
With This mentality.....mtaendelea kuumizwa deile...
U hurt?!on some stress coz of him?!get peace stay with me, ulipo nipo.Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
cool down bana kama umetendwa na mmoja sio wote punguza povuWahusika utawajua tu katika comments ndo mbadilike sasa hivo vitabia haipendezi na tabia nyingine imeongezwa kuwa ni washikishwa ukuta polen sana
Wanataka pesa mkuu, wale ni kama banda la tigopesa, huna hela utaambiwa uzuri kama mwenyeK, uwe nazo umtimue utasikia ana kibamia wakati siku tatu nyuma alilia ooh kubwa inakuta sijui wapi na wapi..shit, women are you really humans?!Akili ndogo saana..... Etu uzuri wa mwanaume pesa.....hapo hapo unalalamika mara kitandani hamna kitu....
Sijui Ni nan aliyewaroga baadhi ya wanawake hawajui nn wanataka in relationship.....
With This mentality.....mtaendelea kuumizwa deile...
Humu jf hamjafunga kwarezma?Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Umeona eeh katendwa huyooujinga tu...labda huyo bw*ge wako uliekua nae
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Hatamimi pia nakuunga mkono ,Huyo anapenda shobo kwa wanaume weupe warefuUmaonekena unawapenda sana wanaume warefu weupe, tatizo linakuja unataka uwe nao wengi kwa wakati mmoja sasa wanakukatalia sababu we kicheche, mi ni mwanaume mrefu mweupe handsome nachelea kusema kuwa sikutaki!!!
Suzitaki mbich hiziWanaume weupe nawaitaga mapapai sionagi mvuto wao hata kidogo ila mashauzi debe.