Wanaume waongozeni wanawake/wasichana

Wanaume waongozeni wanawake/wasichana

Nunio

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
746
Reaction score
1,867
I great you all

Dini hizi kubwa mbili kupitia vitabu vyake vile, zinasisitiza kujisitiri kwa mwanamke, na hasa wakristo ambao wamekua na tafsiri tofauti juu ya kitabu chao. Tena unakuta mdada anavaa nguo zimuachazo wazi sehemu kubwa ya mwili eti anaenda kuabudu, ukimwambia alivyovaa si sahihi atakwambia wakati uliopo ni tofauti na huo unaouzungumzia. Mwanamke ameambiwa ajisitiri, tena ameaswa kutovaa yampasayo mwanaume na vivo hivyo mwanaume, mwanaume ni utukufu wa Mungu na mwanamke ni utukufu wa mume wake, mwanamke asimuoneshe nywele mtu ila mumewe na akinyoa, na mwanaume ukifuga nywele zikawa ndefu ujifunike wakati wa kusali.

Wandugu, tumrudie Mungu ili mambo yetu yakae sawa, mara Tsunami, mara flight 370.
 
mkuu! wazungu ndo walituletea nguo za kuvaa na ndio hao hao waliutuletea kutembea naked so tupo kama tulivyokuwa miaka hiyo yani tumekosa Tanganyika tu kukamilisha uzamani wetu.
 
Wandugu, tumrudie Mungu ili mambo yetu yakae sawa, mara Tsunami, mara flight 370.

Kuna ushahidi gani wa kutosha unaothibitisha kuwa hayo majanga yanasababishwa na kumuacha mungu?
 
I great you all

Dini hizi kubwa mbili kupitia vitabu vyake vile, zinasisitiza kujisitiri kwa mwanamke, na hasa wakristo ambao wamekua na tafsiri tofauti juu ya kitabu chao. Tena unakuta mdada anavaa nguo zimuachazo wazi sehemu kubwa ya mwili eti anaenda kuabudu, ukimwambia alivyovaa si sahihi atakwambia wakati uliopo ni tofauti na huo unaouzungumzia. Mwanamke ameambiwa ajisitiri, tena ameaswa kutovaa yampasayo mwanaume na vivo hivyo mwanaume, mwanaume ni utukufu wa Mungu na mwanamke ni utukufu wa mume wake, mwanamke asimuoneshe nywele mtu ila mumewe na akinyoa, na mwanaume ukifuga nywele zikawa ndefu ujifunike wakati wa kusali.

Wandugu, tumrudie Mungu ili mambo yetu yakae sawa, mara Tsunami, mara flight 370.

mkuu apo kwenye bold ndo umenikosha, so ukiziacha unawatega malaika nini? au majini wema?
 
mkuu! wazungu ndo walituletea nguo za kuvaa na ndio hao hao waliutuletea kutembea naked so tupo kama tulivyokuwa miaka hiyo yani tumekosa Tanganyika tu kukamilisha uzamani wetu.

kwahiyo mkuu unashauri tuachane na lipi hapo, dini au mavazi? maana vyote vimeletwa
 
Kuna ushahidi gani wa kutosha unaothibitisha kuwa hayo majanga yanasababishwa na kumuacha mungu?

hata ushahidi wa kwamba Mungu yupo siwezi kukuletea mkuu, ni imani tuu
 
kwahiyo mkuu unashauri tuachane na lipi hapo, dini au mavazi? maana vyote vimeletwa

mkuu nashauri tuyaache magugu na ngano yakue pamoja cku ya mwisho ngano inavunwa na magugu yatachomwa moto
 
mkuu nashauri tuyaache magugu na ngano yakue pamoja cku ya mwisho ngano inavunwa na magugu yatachomwa moto

mkuu kumbe na wewe ni believer! mh. nyani ngabu anataka ushahidi palee, msaada tafadhali
 
Walileta imani tukaziamini,wakaleta mavazi ya namna mbalimbali nayo tukayapokea pia...hivi ni kitu gani kilitushawishi kuacha kufuati misingi ya imani za kale..uvaaji wa mababu zetu pia?
Ukinijibu hapo pia utakua umepata jibu la mabadiliko ya mavazi
BTW wanawake tunaonesha maungo yetu kupita kiasi.
 
Kabla ya kuingia kwa hizi dini na hawa watu weupe kutuletea nguo, tulikua tunavaaje?
Maovu gani walikua wanapata kipindi hiko!!!!
 
Mbona kabla ya nguo kuja si tulikua uchi tu,mkuu tembea uone nenda lake eyasi kwa hadzabe au wamang'ati wanavyokaa uchi au na wao wanakutega?
 
Kweli,Mwanamke akijisitiri vizuri hua anapendeza sana.Ndio maana nawapenda sana kinadada wa Kiislam Kwa uvaaji wao.Mwanamke anaeacha mwili wake wazi barabarani hua namfananisha na ndizi iloondolewa ganda la juu.Hata kama ni mzuri vipi mi namwona yuko kwenye matangazo anautangaza mwili wake Kwa wanaume.
 
Walileta imani tukaziamini,wakaleta mavazi ya namna mbalimbali nayo tukayapokea pia...hivi ni kitu gani kilitushawishi kuacha kufuati misingi ya imani za kale..uvaaji wa mababu zetu pia?
Ukinijibu hapo pia utakua umepata jibu la mabadiliko ya mavazi
BTW wanawake tunaonesha maungo yetu kupita kiasi.

well said mkuu
 
Mbona kabla ya nguo kuja si tulikua uchi tu,mkuu tembea uone nenda lake eyasi kwa hadzabe au wamang'ati wanavyokaa uchi au na wao wanakutega?

walikuwa na matatizo tuliyonayo sasa mkuu
 
Kabla ya kuingia kwa hizi dini na hawa watu weupe kutuletea nguo, tulikua tunavaaje?
Maovu gani walikua wanapata kipindi hiko!!!!

Moja ya vitu walivyoleta vinakutaka ujitambue, ujiheshimu na kuuthamini utu wako mkuu.
 
Waafrika walitembea uchi na wataendelea kutembea uchi. Mshukuru mzungu anae kuletea nguo uvae. Na jua mungu alikuleta duniani ukiwa uchi. Na mungu atakupenda hata ukitembea bila nguo. Bibilia imekupotosha. Mwanamke mtukufu wake ni mungu si mwanaume, bibilia imekudanganya.


I great you all

Dini hizi kubwa mbili kupitia vitabu vyake vile, zinasisitiza kujisitiri kwa mwanamke, na hasa wakristo ambao wamekua na tafsiri tofauti juu ya kitabu chao. Tena unakuta mdada anavaa nguo zimuachazo wazi sehemu kubwa ya mwili eti anaenda kuabudu, ukimwambia alivyovaa si sahihi atakwambia wakati uliopo ni tofauti na huo unaouzungumzia. Mwanamke ameambiwa ajisitiri, tena ameaswa kutovaa yampasayo mwanaume na vivo hivyo mwanaume, mwanaume ni utukufu wa Mungu na mwanamke ni utukufu wa mume wake, mwanamke asimuoneshe nywele mtu ila mumewe na akinyoa, na mwanaume ukifuga nywele zikawa ndefu ujifunike wakati wa kusali.

Wandugu, tumrudie Mungu ili mambo yetu yakae sawa, mara Tsunami, mara flight 370.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom