Wanaume waongozeni wanawake/wasichana

Wanaume waongozeni wanawake/wasichana

Ila ukweli inakera sana kukutana na mwanamke aliyevaa nusu mwili. Sijui ni kwa nini? Hasa wenye maumbo makubwa.
Ukisema hali ya hewa sio manake jua kali linachoma mwili na kuunguza ngozi laki bado wamo tuu.
Baridi bado tuu hata sielewagi.
 
Waafrika walitembea uchi na wataendelea kutembea uchi. Mshukuru mzungu anae kuletea nguo uvae. Na jua mungu alikuleta duniani ukiwa uchi. Na mungu atakupenda hata ukitembea bila nguo. Bibilia imekupotosha. Mwanamke mtukufu wake ni mungu si mwanaume, bibilia imekudanganya.

mwenyewe huwa nawashangaa eti nusu uchi mbona zamani tulikuwa hatuvai nguo kabla ya kuja kwa waarabu na maijabu yao na wazungu kuvaa mini skirt originate in Africa ndo badae wazungu waka change mind zetu kujiona ni kosa
 
Waafrika walitembea uchi na wataendelea kutembea uchi. Mshukuru mzungu anae kuletea nguo uvae. Na jua mungu alikuleta duniani ukiwa uchi. Na mungu atakupenda hata ukitembea bila nguo. Bibilia imekupotosha. Mwanamke mtukufu wake ni mungu si mwanaume, bibilia imekudanganya.

Unazungumza ukiwa neutral au biased mkuu?
 
Naongelea negative effect za kuvaa hivyo kabla ya hawa weupe kuleta vitu vyao.

mkuu, kabla ya hapo sina ninachojua sana.zaidi ya kusoma historia, ila nafikiri walikuwa na namna ya kuishi ambayo ilileta nidhamu na self respect ambapo kizazi hiki hamna. Siku hizi mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom