Wanaume wanoatafuta six pack

Wanaume wanoatafuta six pack

0222e339addc249aeb0e5cc088b9cd7d.jpg
what about six packs and six cars?!!! I mean fi you have six packs and six cars....even better right? fanyen mazoezi, unaweza kuwa na pesa na mwili wa kueleweka sio kufuga mivitambi na kujitetea kwa posts kama hizi.
 
what about six packs and six cars?!!! I mean fi you have six packs and six cars....even better right? fanyen mazoezi, unaweza kuwa na pesa na mwili wa kueleweka sio kufuga mivitambi na kujitetea kwa posts kama hizi.
Nobody cares kifo kikifika hakijalishi mwenye six pack au kitambi
 
Nazani ni busara kusema kila mtu(mwanamke au mwanaume) anazo preferences zake. Sioni kama kuna tatizo lolote mwanamke kumpenda mwanaume mwenye sura nzuri, six packs, pesa na kadhalika kwa sababu mtu anaweza kuwa navyo vyote hivo na bado akawa mcha Mungu, anajali familia yake na mambo mengine mengi tu ambayo ni positive.

Ladies and gents dont sell yourselves short and settle for less. You can have it all.
 
Kweli mimi kwa mwanaume naangalia attitude yake na potential yake, mambo ya six pack, kuweka nywele dawa, kupiga make up hapana, japokuwa mwanaume anatakiwa awe smart, but attitude na potential yake ndio point kuu kwangu kwenye mahusiano ya muda mrefu
Yale ya hapa muda mfupi naangalia wale ma bad boys wanaoendana na trend za siku hizi a.k.a wanaume wa Dar

"Yale ya hapa muda mfupi naangalia.." fafanua hapo ni yapi hayo?
 
Back
Top Bottom