Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
- Thread starter
- #21
Mke wa mtu huyo,Masa uko wapi unitafsirie hapa ..........huyu mama anatoa vyaluchinja nje ya ndoa yake .......
Mke wa mtu huyo,Masa uko wapi unitafsirie hapa ..........huyu mama anatoa vyaluchinja nje ya ndoa yake .......
Kweli kabisa. Wengi wao wanadai ngono ni kama chakula. Unakula kila unapojisikia na huwezi kula chakula cha aina moja daily.
Nyie wanaume nyie..!!
Mhh!! nilitaka kutetea hoja lakini kwa mwendo huu kumbe wamama/wadada ni hatari zaidi ....hawana maana kabisa ni viumbe hatari sana wanachezea mioyo ya watu tu na kisha kujiona wajanja.....na wasivyojua kuwa wanawake ni wajanja na wasiri kupindukia kwa ndani tunawapa vya kunyonga na nje tunatoa vya kuchinja.....endelee tu ila hamna ujanja wowote ktk hayo mataptap yenu................ukweli ndo huo pinga pangua
Mhh!! nilitaka kutetea hoja lakini kwa mwendo huu kumbe wamama/wadada ni hatari zaidi ....
kuna theory moja kwenye uchumi- consumer prefences/ axioms: axiom of non-satiation, na hii wanaume wengi wana penda kui-apply! -always prefer a litle bit more ..... of papas!
lol, am not in that pls.
Ndio maana wanatembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi na kila mtu.
wao wakifanya ngono na mtu haimaanishi kuwa ndio wanakupenda.
hivi hamchoki kuzungumza hayahaya kila siku?
Ndio maana wanatembea na
1. mahausi geli,
2. machangudoa,
3. mabaa medi,
4. wanafunzi na
5. kila mtu.
wao wakifanya ngono na mtu haimaanishi kuwa ndio wanakupenda.
Naomba chakula kwako leo :A S-alert1:
Jinsia yako inanipa utata kidogo
usiwalaumu, uwezo wao wa kufikiri umeishia hapo
Na mawanawake je? Wale ohio ni akina baba?
ungetoa vya kuchinja ndani asingeenda nje kuvitafuta, wanaume wanajua kuwa mnatoa vya kunyonga hivyo wanatafuta vya kujinja kwa mabaa medi, wanafunzi, machangudoa, na mahausigelihawana maana kabisa ni viumbe hatari sana wanachezea mioyo ya watu tu na kisha kujiona wajanja.....na wasivyojua kuwa wanawake ni wajanja na wasiri kupindukia kwa ndani tunawapa vya kunyonga na nje tunatoa vya kuchinja.....endelee tu ila hamna ujanja wowote ktk hayo mataptap yenu................ukweli ndo huo pinga pangua
makande wanakulaga.
Ndio maana wanatembea na mahausi geli, machangudoa, mabaa medi, wanafunzi na kila mtu.
wao wakifanya ngono na mtu haimaanishi kuwa ndio wanakupenda.
hawana maana kabisa ni viumbe hatari sana wanachezea mioyo ya watu tu na kisha kujiona wajanja.....na wasivyojua kuwa wanawake ni wajanja na wasiri kupindukia kwa ndani tunawapa vya kunyonga na nje tunatoa vya kuchinja.....endelee tu ila hamna ujanja wowote ktk hayo mataptap yenu................ukweli ndo huo pinga pangua
hivi hamchoki kuzungumza hayahaya kila siku?