Wanaume wanaotembea na Binti wadogo

Wanaume wanaotembea na Binti wadogo

illuh

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
1,254
Reaction score
700
Kwa kweli inanikera sana wewe mbaba mtu mzima au wewe kaka unatembea na mwanafunzi tena wa Secondary, bora wa chuo ni mtu mzima.

Halafu wewe wewe hupendi / unaumia mwanaume mwingine atembee na binti yako ambaye yupo Secondary.

Hivi unajifikiriaje hasa kuifungua hiyo zipu kwa binti mdogo ambaye ni kama wako.

Hufikirii kuwa utamuharibia concentration ya masomo. Unapendaje kufanyia wana wa wenzako wkt wewe hupendi wako wafanyiwe?

Laana tu
 
Kama unamjua huyo mhusika kwa nini usimwambie yeye mwenyewe ili imuume zaidi, najua labda huna ushupavu wa kufanya hivyo bali siku hizi kuna njia nyingi za kumwambia ikiwa ni pamoja na kumpiga picha akiwa na kiifaranga husika na kuituma kwake na kwenye mitandao ya simu.

Nafikiri kusonya hapa hakusaidii kumaliza tatizo hili. Mimi nimeisha mkomesah mmoja kihivyo, ingawa na vibinti ninyi mna mambo, kuna kijukuu kimoja kilinitongoza hivi hivi nikakitoa baruti, kwani kichwani niko vizuri, lakini akikutana na bazazi ndo kwa heri tena.
 
sasa matusi ya nini tena!!!'
tatizo lenu nyinyi wakubwa mna gharama sana wakat kule ukikapiga chips kwishaaaa!!!!
waacheni kila mtu na maisha yake……!!!!
 
Kwakweli inanikera sana wewe mbaba mtu mzima au wewe kaka unatembea na mwanafunzi tena wa Secondary, bora wa chuo ni mtu mzima..
Halafu wewe wewe hupendi / unaumia mwanaume mwingine atembee na binti yako ambaye yupo Secondary. Hivi unajifikiriaje hasa kuifungua hiyo zipu kwa binti mdogo ambaye ni kama wako?
Hufikirii kuwa utamuharibia concentration ya masomo?
Unapendaje kufanyia wana wa wenzako wkt wewe hupendi wako wafanyiwe?
laana tuuuu

Kwani wanafunzi wote wa secondary ni "mabinti wadogo?"
 
Ukweli ni kwamba haya matatizo yanaanzia kwenye malezi yetu wenyewe nyumbani....
 
siku hizi hawawataki wanafunzi wenzao wanawataka watu wazima,kwanza wanaume ni wachache sana siku hizi so kizuri kula na mwenzako.
 
Hata vijana wa chuo..bado naona wengi hawajawa tayari kubeba mahusiano na masomo pamoja. Ndio maana binafsi siwezi kutoka na mwanachuo. In fact, 25> kwangu ni mtihani sana.
 
Huyu Ninapo sema binti mdogo / mwanafunzi wa Secondary ukumbuke kuwa wengi wao ni under 18, na kimaamuzi bado hawajakaa sawa na ndio maana hawaruhusiwi kupiga kura na hata mahakamani unashtakiwa ukiwana na mtu kama huyu...Jianaume jitu zima ni rahisi sana kumseduce huyu mtoto akaingia ktk mapenzi...Kweli huwa wengi wanajiona kuwa wamekuwa ila ni ile foolish age tu inawasumbua bado hawajakuwa ...Nyie watu wazima mijibaba ndio mnaotakiwa kuwaweka sawa vijana hawa...MI ....OOO.YENU INANUKA


siku hizi hawawataki wanafunzi wenzao wanawataka watu wazima,kwanza wanaume ni wachache sana siku hizi so kizuri kula na mwenzako.
 
wEWEEEE babu ni mtu mzima aliyekomaa hadi ndevu za chuma zimeshamtoka....Siwezi mimi kushtakiwa eti nimemdanganya atakuwa amejidanganya mwenyewe sababu anajua analolifanya...



Mradi inapita tu....mbona nyie mnatembea na mababu
 
Yote hayo mnasababisha nyie vijana maana asilimia kubwa mmekuwa mariyoo halafu ni wabahili mpk mmepitiliza,Ndo maana videnti vya watu vinaamua kudate na mijibaba at least vipate hata vijipesa vya kujikimu.
 
Bora km ulikitoa baruti coz hajielewi nini afanyacho foolish age..Huwa mara nyingi wanayoyafanya mzigo unakuja kuwa kwa wazazi wao wanaishia kulia lia tuu...Nyie ndio mwatakiwa kuwasaidia ktk maamuzi yao.

Kuwaambia pia hii ni njia moja wapo ya kuwaambia km huku ktk JF nao wapo waache tabia hiii..



Kama unamjua huyo mhusika kwa nini usimwambie yeye mwenyewe ili imuume zaidi, najua labda huna ushupavu wa kufanya hivyo bali siku hizi kuna njia nyingi za kumwambia ikiwa ni pamoja na kumpiga picha akiwa na kiifaranga husika na kuituma kwake na kwenye mitandao ya simu.

Nafikiri kusonya hapa hakusaidii kumaliza tatizo hili. Mimi nimeisha mkomesah mmoja kihivyo, ingawa na vibinti ninyi mna mambo, kuna kijukuu kimoja kilinitongoza hivi hivi nikakitoa baruti, kwani kichwani niko vizuri, lakini akikutana na bazazi ndo kwa heri tena.
 
Haya tumekusikia, tutaacha. Ila waambie na wenyewe waache kutupiga tu mizinga twa chipsi yai na coka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom