mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,106
- 3,158
Mada haijazungumzia wakati gani wa kuhonga mkuu,unaweza usihonge wakati kutongoza na ukafanikiwa kula mzigo lakini kadri muda unavyojongea ukajikuta unahonga.Huwezi mtenganisha mwanaume na kuhongaKutongoza demu kwa kumhonga ni udhaifu kwa mwanaume yan hujiamini