Wanaume wanaohonga ndiyo wanawaaribu wanawake

Wanaume wanaohonga ndiyo wanawaaribu wanawake

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,182
Reaction score
4,828
Kwanza tukubaliane kuna tofauti kati ya kuhonga na kumpa mwanamke vitu. Ufafanuzi:👇👇
Kuhonga ni kutumia vitu kama pesa,vitu vizuri vya anasa kumshawishi mwanamke ili kutimiza lengo lako.

Kumpa mwanamke kitu pale anapoomba hupaswi kutoa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako,yani toa kwa moyo wako na uwezo wako,usitoe kwa sababu unahisi kuna kitu utapewa,toa kwa sababu unataka kumsaidia kutokana na tatizo alilonalo.

Madhara ya kuhonga:
Ukikutana na mwanamke aliezoea kuhongwa cha kwanza atakujaribu aone je na wewe ni "buzi"! Hata kama ulikua na nia ya kumuoa hawezi kuamini mpaka umhonge kwanza,ukimhonga basi anajua wewe ni buzi ukimuweka ndani siku ukikosa hatadumu sababu kashazoea kuchuna lazma atatfuta buzi lingine.

Ukiachana sifa ya 50/50 Wanawake wengi hawaolewi sababu ya kupenda kuhongwa kuliko ahadi za kweli. Wengine wanaachana na ndoa zao sababu ya zoea hilo.

Kama kuna anaebisha afanye utafiti mwenyewe. Ukishakuwa danga huwezi kuolewa ukakaa tena labda ubadili mtazamo wako. Kwa hiyo Mabuzi acheni kuhonga mnaharibu wanawake.
 
Acha kutia huruma mkuu.mpe mwanamke wako pesa ya matumizi acha mambo ya ajabu.

Mwanaume mwenye kujua mwanamke wake anatakiwa apewe pesa ya matumizi madogo madogo... hatasubiria kuombwa.

Kama unanipenda na mimi nakupenda Kwa ufupi tunapenda unaonatabu gani kunipa pesa ya matumizi madogo madogo kabla sijakuomba?hata kama na mimi ninakazi loh.wapeni wanawake zenu pesa achani masihara.panga unampa kila baada ya wiki mbili au mwisho wa mwezi hii itasaidia kuondoa roho nyemelezi za magomvi,kununa nuna hovyo bila sababu na matatizo nyemelezi mengine huko.
 
Acha kutia huruma mkuu.mpe mwanamke wako pesa ya matumizi acha mambo ya ajabu.

Mwanaume mwenye kujua mwanamke wake anatakiwa apewe pesa ya matumizi madogo madogo... hatasubiria kuombwa.

Kama unanipenda na mimi nakupenda Kwa ufupi tunapenda unaonatabu gani kunipa pesa ya matumizi madogo madogo kabla sijakuomba?hata kama na mimi ninakazi loh.wapeni wanawake zenu pesa achani masihara.panga unampa kila baada ya wiki mbili au mwisho wa mwezi hii itasaidia kuondoa roho nyemelezi za magomvi,kununa nuna hovyo bila sababu na matatizo nyemelezi mengine huko.
Sasa unafanya kazi nikupe cash ya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutia huruma mkuu.mpe mwanamke wako pesa ya matumizi acha mambo ya ajabu.

Mwanaume mwenye kujua mwanamke wake anatakiwa apewe pesa ya matumizi madogo madogo... hatasubiria kuombwa.

Kama unanipenda na mimi nakupenda Kwa ufupi tunapenda unaonatabu gani kunipa pesa ya matumizi madogo madogo kabla sijakuomba?hata kama na mimi ninakazi loh.wapeni wanawake zenu pesa achani masihara.panga unampa kila baada ya wiki mbili au mwisho wa mwezi hii itasaidia kuondoa roho nyemelezi za magomvi,kununa nuna hovyo bila sababu na matatizo nyemelezi mengine huko.
Hayo ni mahitaji ya msingi sawa
 
Hayo ni mahitaji ya msingi sawa
Safi Kama umekubaliana na hayo mahitaji ya msingi.

Ukideal na mwanamke mmoja hayo sasa yatakuwa mahitaji muhimu lakini ukideal na wanawake kubali kuwashwa matukio...sema Amen 😅
 
Tafuta pesa unajua ukiwa nazo hautasubili kuombwa unajipima tu unatoa matumizi!
 
kwanza nilivyosoma tu kichwa cha habari nikaja gonga like kwenye uzi wako afu ndo nikaanza kusoma ulichokiandika.
.
kimsingi umeongea ukwel uliopo na watu weng wameona ila wamekaa kimya sababu umewagusa direct.
.
nice topic..
 
Tukiwaambia wanawake hasa hawa wa Kiafrika wanajiuza utasikia ooh una mama una dada bla blah, yaani kuhongwa ishakuwa kawaida... huko ni kuhalalisha kujiuza.

Mabinti wamelelewa kwenye misingi ya utegemezi, yaani akishakuwa na mbunye tu kupewa fedha ni haki yake.

Wazazi, leeni mabinti zenu katika namna ya kujitegemea... ibaki kupeana zawadi tu ambayo ni wote kutoa na kupokea.
 
Wanatuita 'Mabuzi' basi tutaendelea kuhonga hadi siku waseme imetosha!
 
Anzisha mgomo kuelekea Ikulu..kupinga wanawake kuhongwa...Sidhani Kama SIRO ataingilia
 
Back
Top Bottom