Wanaume wananitia wazimu

Wanaume wananitia wazimu

LAZIMA ujifunze kukaa na mtu ambaye amekulia katika mazingira tofauti na wewe. TATIZO ni kwamba watu kabla hawajaoana huwa na matarajio makubwa sana kutoka kwa wenza wao. Mambo yakiwa tofauti wanahisi dunia imewatenda. Haiwezekani mtu akafanya kila kitu kilicho katika ndoto yako, hivyo lazima pawe na uvumilivu.
 
Itakapofikia me na ke tukafahamu undani WA commitment katika mahusiano yetu ndo tutaanza kufurahia mapenzi, ama sivyo tutaendelea kuvunjana mioyo kila uchao...hakuna mwenye nafuu sio sisi wanaume wala wenzetu kila mmoja anaamini yeye aanze kupendwa/kujaliwa kwanza kabla na yeye kuonyesha hisia zake kitu ambacho sio sahihi, hukuwekewa bunduki kuwa na huyo mtu ni hiyari yako jiachie kama haiwezekani then hauko mahali sahihi ndo tunaanza haya ya complicated men/women..!
 
hahaha umestuka eh! bribe me then!! lol

Haswaaa, nimeshtuka tena sana! Why? Umetoa statement ya kujiamini sana and to me when a woman with this attitude comes arround? ... kweli kabisa najisikia ku m corrupt not to love her just corruption ... fine will bribe you ... you tell me what is your worth?:A S kiss:
 
man like me, i want a free relationship, a girl i can believe in everything she is doing, a girl who can trust me,
a girl who can listen and advise me, a girl whom we can exchange our phones, a girl who can read my sms and i can read
her sms without any questions coz we believe that we know what we are doing, a girl who is very charming who can be more than a friends, we can chart kiasi kwamba zaidi ya mabest zake. Love z not sex, love z not commitment...love iz just insurance of life of your partner.

so ukiwa na mahusiano kama haya lazima ufurahi kwa sababu siku zote usipende kumpa mwenzio hofu, maswali na kutokuamini....kuhusu pesa kama unataka pesa unasema nipe shilingi kadhaa for A and B, siyo yeyote ile..nyingine nani ataongeza? unanipa maswali...huo ni wajibu wangu.

Wish I had a guy like u aisee it wud be fun....ur gal iz luckyyyy
 
hivi nyie wanwake hamjioni,kweli kusafiri asafiri mwarabu akisafiri mzaramo kafuata ngoma!!!
 
Haswaaa, nimeshtuka tena sana! Why? Umetoa statement ya kujiamini sana and to me when a woman with this attitude comes arround? ... kweli kabisa najisikia ku m corrupt not to love her just corruption ... fine will bribe you ... you tell me what is your worth?:A S kiss:

HAhahahah solution, umeniuliza how do I handle a complicated YOU........... simple by giving you what you want. So don't ask how am I going to give you that, just know that you wont ever had a chance to lack what you need in relationship.
 
Last edited by a moderator:

Men!!!Men!!!Men !!!
So complicated,
So confusing,
So hard to please.
If u try 2 pls dem, u re cheap.
If u make love (sex) to them, u're a Love
Peddler.
If u don't, u re playing hard to get.
If u show dem u love dem, u're too emotional.
If u don't show it, u don't love dem.
If u give them attention, u're bugging them,
if u don't u're with other men.
If u demand for attention u're a nagging
woman,
if u don't u're not understandable
If u dress sexy, u're attracting other men
If u don't , u're awkward & local.
If u cook & wash their clothes u're desperate
If u don't, u're not a wife material.
If u go to club/party, u're too exposed
If u don't, u're naïve.
If u re beautiful, u can't stay wit 1 man
If u're ugly, u're not up to standard.
If u're independent, u're chasing men away
If u're dependent, u're a liability:
If u try 2 satisfy dem in bed, U're a sex addict
If u don't, u're making sex boring.
If u'r pregnant, u want to trap them:
If u're not pregnant, u're not a
woman or might hv damaged ur womb
If u ask men for money U're too demanding
What do men really want?
Does that mean they don't even know what
they want? O
They can be so annoying!!!
GOSH!! please, answer dis question:
if u are a man pls be sincere,
WHAT DO MEN REALLY WANT?
Over to you men, your comments, please.​

Hivi ni ukweli hujui wanaume huwa tunataka nini kwenu au unazingua tu watu hapa?
 
Haswaaa, nimeshtuka tena sana! Why? Umetoa statement ya kujiamini sana and to me when a woman with this attitude comes arround? ... kweli kabisa najisikia ku m corrupt not to love her just corruption ... fine will bribe you ... you tell me what is your worth?:A S kiss:

So that is ur solution? BRIB ING
 
Last edited by a moderator:
HAhahahah solution, umeniuliza how do I handle a complicated YOU........... simple by giving you what you want. So don't ask how am I going to give you that, just know that you wont ever had a chance to lack what you need in relationship.

Kwanza wewe mbona umebadilisha signature ...!! It was about "...Love and Seed ..." I don't ask much ..simply return the previous signature ... then I will know that you know how to handle the complicated ME!!! Yes to start with just GIVE ME that little favor, the previous signature!!
 
Back
Top Bottom