babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,182
tutaenda dubai kwanza niwalingishie mashost mselelekoKuna dili nasikilizia likikubali kama upo mkoani lazma nikulete dsm tule maisha, maisha mafupi haya tusisahau kula bata
tutaenda dubai kwanza niwalingishie mashost mselelekoKuna dili nasikilizia likikubali kama upo mkoani lazma nikulete dsm tule maisha, maisha mafupi haya tusisahau kula bata
tutaenda dubai kwanza niwalingishie mashost mseleleko
si ndio tunapanga michakato kwanzaNaona una badili gia mama
Mkuu unaangalia maisha katika level ya chini sana.Heshima yangu iwaendee wale Wanaume ambao wana pambana na maisha Nonstop nazungumzia wale wote waliopanga wanalipa kodi za nyumba, walioa, na wale wanaolea watoto. Mungu aendelee kuwajaliaa sana.
Maturity....
Lakini ndio ndoto za vijana wengi wa nchi zetu hizi za kimasikini.Mkuu unaangalia maisha katika level ya chini sana.
swali la IQ hafifu hili... Ongeza lisheTuambie mafanikio zaidi ya hayo yenye maana zaidi hapa duniani?
Ndoto yako ikitimia,beki tatu nipo hapa
Hata mimi naota hivi...........
We jamaa n mjinga sana
hao wenye iq kubwa kuliko wewe wanaendeshwa na mbusususwali la IQ hafifu hili... Ongeza lishe
Lazima mbishe maana hata hayo mandinga mnapandaga huku mnasema hamkai sanaNdiyo, Unasema uongo ndugu yangu..
Nani alikuambia Wanawake tunashoboka na hayo makitu?