Ahsante kwa kutaka kujua,
TABIA NZURI
1. Wajasiri sana
2. Wavumilivu
3. Hawatoi talaka ovyo ovyo
4. Ni watafutaji pesa wazuri-wauza mayai kwa Dar
5. Wanampenda Mungu
6. Wengi wao ni Wasabato
7. Wanajituma
8. Hawataki uonevu-wanapenda haki
9. Hawana kinyongo
10. Wana nguvu-giants
HASARA ZAO:
1. Ni WAKALI SANA wakichokozwa na hawataki mabo ya nenda rudi kesho.
Wao ni hapo hapo unachukua (kibano) chako faster.
Motachambe!!!!