Wanaume wakurya!

Hawana kinyongo hawa si ndo waliwauaga watu pamoja na mifugo yao mwaka 2009 as a form of kisasi
mkuu kisasi kinaruhusiwa hasa katika mlango wetu maana uchokozi kwetu ni moja ya miiko mikuu. haki na kisasi ni moja ya tunu la mlango wetu na wakurya wote! ila kiukweli wakurya tunapenda sana mie mpaka mchumba wangu huwa ananiambia nipunguze kidogo
 
Mmh, huwajui tu.

dah!! kuna mkurya mmoja kwenye kutongozana stage tu niliisoma namba. mie nawaogopa sana. bora kuna kabila flani hivi wanaonekana kama washamba ila niwatamu kuwala hata bila mchuzi.
 

Nakataa apo namba 5
 
1. ni wapole sana/wana huruma.
2. hawataki dharau
3. wengi wao ni wanajeshi na polisi
4. ni wakali wakichokozwa
5. hawapendi mambo ya kipuuzi(utaniutani)
6. wengi wao ni warefu
7. wanajiamini sana(confidence)
 
dah!! kuna mkurya mmoja kwenye kutongozana stage tu niliisoma namba. mie nawaogopa sana. bora kuna kabila flani hivi wanaonekana kama washamba ila niwatamu kuwala hata bila mchuzi.

Usiombe ukadakwa hutaachia.
 

11.Akipenda kapenda
 
Kupiga hakuna kabila jamani. Mtu yeyote aweza piga at any time depending namna ambavyo shetani atamtumia.
 
Oya
Kabila gani ambalo wanawake hawadundwi na wanaume zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…