"Wanaume wabaya sana"

"Wanaume wabaya sana"

Kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu visivyoendana.
Mimi nilijua wewe ni ke umeumizwa na midume kumbe duh..tofauti.
 
Tongoza,Igiza mapenzi,t*mba, sepa na pisha mwingine..ukijifanya unaleta mapenz ya kina sharukhan,sijui krishina hapa bongo jiandae kwa matokeo mabaya....simple rule.
 
Kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu visivyoendana.
Mimi nilijua wewe ni ke umeumizwa na midume kumbe duh..tofauti.
Creativity tu si unajua mzee baba na manzi nao waisome hii habari iliomkuta mdau wetu
 
"Nimekuwa mwaminifu sana kwa hawa wanawake kwa nyakati zote ambazo nimewahi kuhusiana nao.
Lakini mshahara wa haya ni kusikiliza nyimbo za baraka, IBRA nation na lavalava.
Haijawahi kutokea Mimi niwe chanzo cha maumivu ya mwanamke ambaye Niko naye. Hawaoni memaa yangu wananilipiza maumivu yasiyovumilika.. Asanteni wanawake kwa kunizawadia maumivu"
Halafu baadae mnasema wanaume wabaya?
Hivi mkwawe wanatakaga nini hawa viumbe?
Nami kuanzia leo nakuwa mwanaume mbaya na kila mwanamke nitakaekutana nae ahesabie kilio"
ALISEMA RAFIKI YANGU MAYENGA
Eti na wewe unathread
 
Back
Top Bottom