Wanaume wa sasa hawana tofauti na Wanawake


Apo kwenye nyekundu kama wewe unaona jambo hilo ni la wanawake tu!! kaka umekula hasara!!! Mimi Ni mwanaume tena mwanaume wa haswa, na jikoni huwa naingia bila kufikiria jinsia yangu. Huwa napika mkuu na sio kwa wanawake tu hata madume wanzangu wakija kunitembelea huwa napika tena wengine kwa sababu mawazo yetu yapo sawa huwa wanaingia jikoni na sio kupiga story tu bali huniunga mkono ili mambo yaishe chap chap!! Tunapika na tunakula na kina dada ambao wao wakati wa upishi jikoni huwa tunawapiga marufuku. Upo hapo!? JE mimi unaniweka kundi gani??
 
Inawezekana kwa sehemu. Vijana wengi wa siku hizi wameendekeza starehe kuliko kazi. Hili imewaponza na kujikuta wakifanya hata yale wasipaswa kuyafanya ili mradi waweze kujikimu.
Wanatia aibu na wanapaswa kubadilika!
 

kwa mujibu wa wale wazee wewe ni mwanamke.
 


weweee acha ungese unaongea ongea tu.kuna watu akili zao ziko mkiani mmojawapo oyu!!!
mia!!
 

kwanza hiyo ID yako du!!! you must be comedian lol!
 
naomba kusikia toka kwa mtu ambaye alikuwa kijana miaka ya 60, arafu akafa then akafufuka na kuwa kijana tena miaka ya 2005 sijui yupo????
 

Wazee wana haki ya kusema na kulaumu kama hapo juu kwa sababu nyakati zao mfumo dume ulikuwa ndo top fashion.Ndo wazee hawahawa wakiona mume na mkewe wanaelewana wanasema huyo mwanamume kakaliwa na mkewe. Lakini kuna kaukweli kuhusu vijana wa kisasa wanaosuka nywele, kuvaa hereni, kutumia dawa za nywele, kuvaa kata k's nk. Kijana kama huyu akichumbia na kuoa halafu wakaelewana na mkewe, ni kinyaa kitupu mbele ya wazee.
 

Lizzy asante sana, umemaliza kutoa majibu yale niliotaka kumjibu mtoa mada awapelekee hao wazee wake wa enzi hizo. Sasa hivi ni digital mambo ya analog yamepitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…