Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Siku moja nikiwa na safiri kuelekea Dar esalam kutoka mbeya nikiwa kwenye kituo cha mabasi, kulikuwa na wazee wawili, walikuwa na maada ambayo walinifanya niwadadisi kwa undani zaidi ,wakidai kuwa vijana wa kiume wasasa hawana tofauti na mwanamke isipokuwa maumbile tu ndiyo yanawatenganisha mengine yote nisawa ,walitaja sababu 1. Vijana hawana ujasili. Wanaogopa kumukabili mwanamke 2. Kwenye ndoa mwanamke amekuwa na amri sawa na mwanaume 3. Waoga hata kumtokea mwanamke 4.wakikutanisha macho na mwanamke huwa wakwanza kuinamishwa kichwa chini 5. Akimtongoza mwanamke yeye ndiye wakuuma uma nyasi na kushika ukuta 6. Walio kwenye ndoa humpikia mwanamke wakidai haki sawa 7.huosha vyombo 8.mwendo wamelegea legea kama wanawake 9. Huongea kwa kurembua rembua 10.HAWANA NGUVU kila siku kwa waganga kutafuta nguvu za kiume 11.wanakubali kuhongwa wakiita zali la metali
Apo kwenye nyekundu kama wewe unaona jambo hilo ni la wanawake tu!! kaka umekula hasara!!! Mimi Ni mwanaume tena mwanaume wa haswa, na jikoni huwa naingia bila kufikiria jinsia yangu. Huwa napika mkuu na sio kwa wanawake tu hata madume wanzangu wakija kunitembelea huwa napika tena wengine kwa sababu mawazo yetu yapo sawa huwa wanaingia jikoni na sio kupiga story tu bali huniunga mkono ili mambo yaishe chap chap!! Tunapika na tunakula na kina dada ambao wao wakati wa upishi jikoni huwa tunawapiga marufuku. Upo hapo!? JE mimi unaniweka kundi gani??