Wanaume wa Rombo hawajui mapenzi

Wanaume wa Rombo hawajui mapenzi

Duuh.. Mwaka huu mtatutoa roho wachagga lol..

Ila mleta mada umeileta kishabiki sana kwa sababu title yako na habari yenyewe haiendani.. Title yako inasema wanaume wa kichagga hawajui mapenzi lakini habari yenyewe inasema wanaume wamezidiwa na ulevi na kushindwa kuwahudumia wanawake wao..

cc Asprin..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu salamu kwenu,

Leo tarehe 19/5/2015 katika pitapita zangu nimekutana na gazeti la mwananchi lenye hii taarifa "" Wanawake Rombo wakodi wanaume. Kutoka Kenya ili kufanya nao mapenzi kutokana na waume zao kuzidiwa na ulevi na kutowahudumia.""

Source: Mwananchi

Kichwa cha habari tofauti na kilichopo ndani, wachaga tunajua kutafuta pesa, kama wewe unaamini mapenzi ufundi, peleka veta. Sisi pesa kwanza mapenzi dharura tu.
 
Viroba vinawamaliza. Ndoa huko uchaggani zipo mashakani. Wanaume wenye 'nguvu' ni wa kuhesabu na ndo wanatumika hasa. Si na wake za watu tu, bali hadi mabinti....!!

Serikali wala haipigi marufuku hizi pombe maana wanaoathirika ni 'wapinzani'!!!

Kuna mpya zimebuniwa huko Rombo. Moja inaitwa Mabobo na ingine Mbhunu Mbundi....

Hizo miezi 6 mingi mke unamgeuza dada yako. Ni kupwelepweta kwa kwenda mbele.....

Hiyo ya kuagizia wanaume Kenya inawezekana kabisa japo na hao wa mpakani wameathirika sana kuliko warombo maana wanazinywa kwa fujo hasa!
 
Sheeder........
wanawake wa kiRombo wana sura nzuri, hivyo siamini km wanaweza kukodisha madume ya mbegu kutoka Kenya kwani WaMarangu Kibosho ai Machame wameisha?au walevi wote
yaani baada ya muda km miaka 10 nao watoto watakuwa na sura za kiMANYANG'AU (fujo kwenda mbele)
attachment.php
 
Habari za leo,

Latest news, Mwanaume rijali Rombo ni dili.

Wanaume Wilaya ya Rombo wameathirika na ulevi wa pombe za kienyeji kama vile gongo, vimorali, raha leo, vimondo, vimbuli na vipombe vingine vyenye majina ya ajabu. Matokeo yake wanaume wamepoteza ule uwezo wa kuhudumia ndoa zao na hatimaye wamekuwa wakiwakimbia wake zao.

Tatizo hili ni kubwa sana kiasi kwamba hata mwanamke akienda kwa jirani kuomba msaada kwenye tuta anakuta nafuu ya mume wake. Si akina mama, si mabinti, wote wamebaki wapweke yani no huduma ya za wanaume.

Kwa hali hiyo wanawake wa Rombo wamwonapo mwanaume aliyetoka mjini ie DSM, Arusha, DDM, Moro n.k. wanamvizia kama mwanaume amviziavyo mtoto wa kike...

Na wanaume sasa, akikuona umeenda kusabahi Rombo hawana shida ya bia wala mbege! Siku hizi wanakuomba jero tu na ukimpa baada ya nusu saa anarudi yupo safi, amependeza yani kalewa!

Hali ya Rombo ni tete kigenaration kwani shule nyingi za msingi kwa darasa la kwanza zimebaki na madawati tupu. Kama pombe hizi hazitotokomezwa, basi kuna hatari miaka 3 hadi 5 ijayo shule hizi zikakosa wanafunzi kabisa.

Kujua hali ilivyo mbaya, angalia ITV, Jumanne saa tatu na nusu usiku kipindi cha Ripoti Maalum toka Romba, ni mwendelezo wa jinsi wanaume wa Rombo walivyoathirika na ulevi wa pombe za kienyeji.

Mpo wababa? Kuna haja ya kupigana kuokoa Rombo yetu.
 
halafu wanaume wa huko mahali kwa wivu w mapenzi wako vizuri hadi wanajiua kwa kujipiga risasi. Cha kushangaza kunako sita kwa sita choka mbaya
 
Mpaka yule dada wa old moshi aliyemvunja mungu wao apatikane ndio hizi adha zitaisha huko.
 
Habari za leo,

Latest news, Mwanaume rijali Rombo ni dili.

Wanaume Wilaya ya Rombo wameathirika na ulevi wa pombe za kienyeji kama vile gongo, vimorali, raha leo, vimondo, vimbuli na vipombe vingine vyenye majina ya ajabu. Matokeo yake wanaume wamepoteza ule uwezo wa kuhudumia ndoa zao na hatimaye wamekuwa wakiwakimbia wake zao.

Tatizo hili ni kubwa sana kiasi kwamba hata mwanamke akienda kwa jirani kuomba msaada kwenye tuta anakuta nafuu ya mume wake. Si akina mama, si mabinti, wote wamebaki wapweke yani no huduma ya za wanaume.

Kwa hali hiyo wanawake wa Rombo wamwonapo mwanaume aliyetoka mjini ie DSM, Arusha, DDM, Moro n.k. wanamvizia kama mwanaume amviziavyo mtoto wa kike...

Na wanaume sasa, akikuona umeenda kusabahi Rombo hawana shida ya bia wala mbege! Siku hizi wanakuomba jero tu na ukimpa baada ya nusu saa anarudi yupo safi, amependeza yani kalewa!

Hali ya Rombo ni tete kigenaration kwani shule nyingi za msingi kwa darasa la kwanza zimebaki na madawati tupu. Kama pombe hizi hazitotokomezwa, basi kuna hatari miaka 3 hadi 5 ijayo shule hizi zikakosa wanafunzi kabisa.

Kujua hali ilivyo mbaya, angalia ITV, Jumanne saa tatu na nusu usiku kipindi cha Ripoti Maalum toka Romba, ni mwendelezo wa jinsi wanaume wa Rombo walivyoathirika na ulevi wa pombe za kienyeji.

Mpo wababa? Kuna haja ya kupigana kuokoa Rombo yetu.

Hahaha...ulivyoelezea mkuu
 
Duuh.. Mwaka huu mtatutoa roho wachagga lol..

Ila mleta mada umeileta kishabiki sana kwa sababu title yako na habari yenyewe haiendani.. Title yako inasema wanaume wa kichagga hawajui mapenzi lakini habari yenyewe inasema wanaume wamezidiwa na ulevi na kushindwa kuwahudumia wanawake wao..

cc Asprin..

Hahahahaaaa.... ahsante kwa taarifa kiongozi. Tutajitahidi tuongeze maarifa...

Inawezekana tunahitajika sana....
 
hahahahaaaa.... Ahsante kwa taarifa kiongozi. Tutajitahidi tuongeze maarifa...

Inawezekana tunahitajika sana....

mkuu vipi, mbona nasikia hali ni mbaya huko, rombo inaweza ikawa sehemu ya kenya mzee! Ongeza mke kama aka 47 yako bado imara! Inasikitisha lakini!
 
Nenda taratibu usijekuta unahudumiwa wewe badala kuhudumia wewe jombaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Arusha nako kwa akiasi fulani ulevi unapamba moto. Saa mbili asubuhi unakuta vijana wamekaa nje ya duka wanakunywa banana! Lord have mercy na nguvu kazi ya taifa letu maana ni muhimu kuanzia bedroom…,
 
Arusha nako kwa akiasi fulani ulevi unapamba moto. Saa mbili asubuhi unakuta vijana wamekaa nje ya duka wanakunywa banana! Lord have mercy na nguvu kazi ya taifa letu maana ni muhimu kuanzia bedroom…,

Kiwanda cha banana kifungwe tu vijana wetu mambo yanakuwa kama utambi.
 
Tatizo la Tanzania vijana wamekuwa mno lege lege na kupenda kushabikia story za vijiweni zaidi ya kufanya tafiti hivi unahoji familia ya watu watatu tena walevi ndo wana present the whole District??? Au wachagga wote! hiyo sio research ni uhuni tuuu mm nipo mbeya kazi ngumu za kubeba zege zinafanywa sana na wanawake ina maana wanaume huko ni walevi wamelegea
Nenda mikoani huko Arusha mwanza Dar na miji mingine wamachinga wengi ni wanawake kwa wanaume ina maana wanaume wamepungua?? Wakufanya hizo biashara za kutembea???
Tatizo ni ninaloliona kweli ulevi ni janga na sio rombo tuu ni dunia acheni kuwadhalilisha Wakaazi wa Rombo
 
Back
Top Bottom