Wanaume wa Rombo hawajui mapenzi

Wanaume wa Rombo hawajui mapenzi

mkuu wa vilaza

Senior Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
192
Reaction score
85
Wakuu salamu kwenu,

Leo tarehe 19/5/2015 katika pitapita zangu nimekutana na gazeti la mwananchi lenye hii taarifa "" Wanawake Rombo wakodi wanaume. Kutoka Kenya ili kufanya nao mapenzi kutokana na waume zao kuzidiwa na ulevi na kutowahudumia.""

Source: Mwananchi
 
Hii nilishasikia kwa mfanyakazi mwenzangu anayetokea pande hizo kuwa viroba vimeua nguvu kazi na uwezo wa kuzaa wa vijana wa hiyo pande...nkamwamba basi serikali itangaze kuwa viroba ni janga la taifa...ivipige marufuku...sa sijui watahamia kwenye gongo?

Ni hatare sana
 
Nimesikia wanawake Wa Rombo wanakodisha wanaume toka Kenya ili wapate kuzalishwa baada ya wanaume wao kushindwa kupiga kazi vizuri sababu ya ulevi uliokithiri. Wana rombo hebu tujuzeni
 
Sheeder........
 

Attachments

  • 1432032165731.jpg
    1432032165731.jpg
    114.9 KB · Views: 2,127
Nimesikia wanawake Wa Rombo wanakodisha wanaume toka Kenya ili wapate kuzalishwa baada ya wanaume wao kushindwa kupiga kazi vizuri sababu ya ulevi uliokithiri. Wana rombo hebu tujuzeni

Huo umbeya sasa, kwanini usiende huko Rombo kuthibitisha haya uliyoyasikia mwenyewe..
 
Ngoja wanawake wa rombo wakiri kwanza nimlime wangu talaka! Maana malalamiko haya kwanini asiniambie mimi kabla ya kwenda kwa mwekezaji toka nchi jirani?
 
Natagemea soon mwananchi watakuja kukanusha hiyo habari! Ni kweli kuna tatizo la ulevi na kupelekea huduma za kimahusiano kupungua ila swala la kukodisha/kununua wanaume kutoka Kenya ni uongo mtupu.

Hakuna kitu kama hiyo, huwezi kujumuisha habari ya hivyo kwa sample ya Mtu mmoja! Rombo ni wilaya sasa mwanamke mmoja kutafuta hiyo huduma Kenya haimaanishi ni wanawake wote.

Ukweli wa kisanga hichi uko ITV, hao mwananchi ni wapotoshaji tu. But the bottom line ulevi upo tena uliokidhiri na umedhoofisha afya za wanaume wengi sana na kupelekea wanawake Kuwa ndio nguzo na mihimili ya familia.

Na hii haina maeneo, ni mkoa wote wa kilimanjaro swala la ulevi limekuwa shiidaa.....pombe asubuhi kama chai!

Sent from JamiiForums
 
Wakuu salamu kwenu,

Leo tarehe 19/5/2015 katika pitapita zangu nimekutana na gazeti la mwananchi lenye hii taarifa "" Wanawake Rombo wakodi wanaume. Kutoka Kenya ili kufanya nao mapenzi kutokana na waume zao kuzidiwa na ulevi na kutowahudumia.""

Source: Mwananchi
Mleta thread, title ya thread yako na rejea ya gazeti uliyoitoa haviendani.Title inazungumzia wachagga na rejea ya gazeti inazungumzia wanaume wa rombo. Wanaume wa rombo ni subset ya wanaume wa kichaga.Title ime-generalize ila gazeti lime-specify.Unahitajika kusahihisha title ya thread!
 
Kule Mbeya wanakunywa sana viroba vya Malawi, sijasikia wanawake wa huko kufanya importation
 
Back
Top Bottom