Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,284
- 39,511
Sio naandika kinafiki uzi huu ni ukwel kabisa ndugu zetu wa mkoa mnakwama wapi?? Bado mna mapenzi ya kishamba sana badilikeni bwana.
Unakuta mwanaume wivu umejaa , mwanaume unanuna kisa dem kakunyima papuchi, mwanaume una demu mmoja eti mnafeli wapi?? Mwanaume hujui uvinza wapi??
Ndomana madem zenu wakija hku wakakutana na sisi tunawachapia kwasababu sisi tunajua nini maana ya mapenzi uchafu wote tunafanya.
Mwanaume wa dar hta achapiwe demu huji kuta analalamika jf au wapi uko, atavunga atatafuta mnyonge nae atakulaa. Wenzetu ukiachwa na demu unaenda jinyonga duu hatari mwanaume wa dar hapo atatafuta chombo mpya haraka kwa line.
Kingine hamjui kuish na madem zenu hamjui kugharamia mnajisifia mpo vzr kitandani hii ndo silaha yenu eti, afu pia ni wachafu badiliken jaman.
Ndomana madem zenu wakija dar kusoma chuo,kazi nk akakutana na sisi lazma akuache, wengi mmeachwa na madem zenu baada ya kuja dar hku. Badilikeni msijikute wagumu kazi kutuponda tu sisi wanaume wa Dar wkt nyie ndo zero kabisaa.Mapovu ruksa
NAWASILISHA KAMA MWANAUME WA DAR
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unakuta mwanaume wivu umejaa , mwanaume unanuna kisa dem kakunyima papuchi, mwanaume una demu mmoja eti mnafeli wapi?? Mwanaume hujui uvinza wapi??
Ndomana madem zenu wakija hku wakakutana na sisi tunawachapia kwasababu sisi tunajua nini maana ya mapenzi uchafu wote tunafanya.
Mwanaume wa dar hta achapiwe demu huji kuta analalamika jf au wapi uko, atavunga atatafuta mnyonge nae atakulaa. Wenzetu ukiachwa na demu unaenda jinyonga duu hatari mwanaume wa dar hapo atatafuta chombo mpya haraka kwa line.
Kingine hamjui kuish na madem zenu hamjui kugharamia mnajisifia mpo vzr kitandani hii ndo silaha yenu eti, afu pia ni wachafu badiliken jaman.
Ndomana madem zenu wakija dar kusoma chuo,kazi nk akakutana na sisi lazma akuache, wengi mmeachwa na madem zenu baada ya kuja dar hku. Badilikeni msijikute wagumu kazi kutuponda tu sisi wanaume wa Dar wkt nyie ndo zero kabisaa.Mapovu ruksa
NAWASILISHA KAMA MWANAUME WA DAR
Sent from my iPhone using JamiiForums