Wanaume wa Marekani mna nini?

Thats a no brainer....Nimeku-challenge tu kwasababu ulisema ZA KARIAKOO ZIMETENGENEZWA CHINA, ilhali wewe na mimi najua hata za US/UK zimetengenezwa China ILA KWA STANDARD TOFAUTI.
 
Dollar dollar tamu, ila wapo wa miji mingine wanapenda kulelewa na wanawake ni wavivu navyosikiaga kupindukia. Wengine na mchezo bado hawaujui kivileeee
 
Brain washing ipi?

Kwamba kila kitu tokea marekani ni bora, unadhani ni kitu kimetokea tu bahati mbaya, it was planned , when you control the media you control the sheep, hujiulizi wanawezaje kurecruit the best human resource, mtu akiwa the best hapa Tz, yupo likely kuchukuliwa na wamarekani na kwenda kuwafanyia kazi na yeye akawa na amani tele moyoni ilhali anaacha kwao wana uhitaji na taaluma yake. Now the same trend goes from the top to the bottom. Ndio maana unaona kuna watu wanaacha shule bongo wanaenda kufanya kazi za ndani uarabuni alafu anaishiwa kubaguliwa. The world has agreed to make Africa and her people savages, and sadly hivo ndivo jamii kubwa duniani inavoamini. Sasa ndio maana unaona wanaume wa marekani wanashobokewa na masista duu. Ndio brain washing hio mzee
 
Hahaha. Talk about flexing, almost nobody does it better man. Got to give you that.
Naelewa...
Its hard to believe. Ivi madem wakibongo unawaelewa lakini ??

Ivi unafkiri mfano msomi mwenye mpaka MSc mwenye kibarua bank ana push ki IST sijui Spacio utamlinganisha na msela anayekaa masaki ana push beema au autobiography ya mshua wake ??

Ivi yan kabisa unafkiri watakua wanang'oa madem wa standard sawa ?? Niulize chochote kuhusu Central London nikujibu.

Dude we ngoja wakugongee dem wako utakuja kunielewa.
 

It's more than that my dude. I seen brothas who've been around the globe, but they got a pretty lame swag still.

One could pay for school, but class can't be bought. Ladies could tell, but hoez.
 

Na wanawake wa Marekani je?
 
Ha ha ha comments zako huwa zinanifurahisha sana.
 
Thats a no brainer....Nimeku-challenge tu kwasababu ulisema ZA KARIAKOO ZIMETENGENEZWA CHINA, ilhali wewe na mimi najua hata za US/UK zimetengenezwa China ILA KWA STANDARD TOFAUTI.

Okay.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…