Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,011
- 142,702
Kwahio hivyo ndio vitu wakikuona navyo wanashoboka?!!
Ok nilifikiri na wewe unashobokewa na mj zako za USA.Mi sijui kama wakiniona navyo wanashoboka.
Huwa najali mambo yangu tu.
Labda hilo swali ungewauliza wenyewe maana mimi sijawahi kuwauliza.
Kwani MJ za U.S.A zimetengenezwa wapi?Za Kkoo zimeungwaungwa huko Asia.
Ok nilifikiri na wewe unashobokewa na mj zako za USA.
Kwa mbwembwe zako ungeshajua.....wale waliokuwa wanakuomba gear zako og hawakushoboka?!Inawezekana nashobokewa lakini sijui...
Kwa mbwembwe zako ungeshajua.....wale waliokuwa wanakuomba gear zako og hawakushoboka?!
Kama ambavyo naamini uko U.S.A....ukiimba USA baby na kupeperusha bendera.....Hivi wewe uko gullible kiasi hicho?
Unaamini hook, line, and sinker kila niandikacho humu?
Zinatengenezwa Asia zinapelekwa US then tunauziwa.Kwani MJ za U.S.A zimetengenezwa wapi?
Inawezekana nashobokewa lakini sijui...
Na nimetolea mfano wa 23s kwa sababu hizo zinajulikana zaidi.
Ningeweza kuweka Florsheim na Donald J. Pliner na watu mkatoka kapa!
Na hapo najua watu mta Google kutaka kujua ni vitu gani hivyo😀😀😀.
Kama ambavyo naamini uko U.S.A....ukiimba USA baby na kupeperusha bendera.....
Ok kumbe zinatengenezwa Asia kama za Kariakoo.Zinatengenezwa Asia zinapelekwa US then tunauziwa.
Zinatengenezwa Asia zinapelekwa US then tunauziwa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtoto wewe?hivi kuna wabeba box waliochoka kama wamarekani?
bora wabongo wa nchi zingine nyie wa marekani ni chokest mcheki le mutuz kaja na bukta 2
Wenzio tulivyo kwenda mbele kishule kurudi bongo likizo madem wakali wa high school kama wa 4 hivi nikapiga show na sikuhonga hata 100. Unamtoa out, swimming, eating mtoto anajaa ye mwenyeeewe, napiga show. Mpaka kuna wakati sikuamini kama nimekula ile mizigo. Daah
Achalia mbali na wanaoleta shobo na ni wakali haswa. Yani kama unaishi states hujaoa ukiwa unarudi bongo likizo these chicks utawachoka mwenyewe (kikubwa tumia kinga tu), wengine wanaweza waka kunasia mimba. Issue ni wajue the position ur in and toa out mbili tatu. Utaniambia.
ahahaaa mzee wa mabebs alikuja na hela hyo tena enzi hizo exchange rate si ilikuwa elf bongo?[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtoto wewe?
Eti karudi na bukta 2!lol
Usisahau pia alirudi na 500$ baada ya miaka 30!!!
Hapo kwenye mawasiliano umenena,mwingine unachart nae ni kama unalazimisha,msg zake kifupifupi unahamu ya kuchart nae lakini ye wala haoni uzito hapo akitokea wa kukupa company ndio hivo unaanza kuhamisha hisia taratibuMkuu usigenerelize!!!!! kam una mkeo mkamate ipasavyo wala usimwachie uone km atakusaliti!!!! mwanamke huwa asaliti ndoa kizembe ivo,,,, mfn,,, unakesha JF, FB, INST n.k lakin akikutext msg mkeo hujibu mpaka unarudi hom ndo una mpa kwa mdoMo je unazan hapo kati hawez tokea atae timiza haja zake???? unakumbatia laptop adi wik 2 znapta game hujampa je hapo kati hajafatwa nakuombwa??? matokeO yake mke wa mtu akitoka nje ya ndoa anaonekan ye malaya mkubw tofaut na mwanaume atokavyo wala hawez kufikiliwa vibay badala hake mwanamke ndo anakuw mbaya siku zote!!!!!!! MUNGU awasamehe nyinyi mnaoona mwanamke kila lililO baya ni lake.
Hapo kwenye mawasiliano umenena,mwingine unachart nae ni kama unalazimisha,msg zake kifupifupi unahamu ya kuchart nae lakini ye wala haoni uzito hapo akitokea wa kukupa company ndio hivo unaanza kuhamisha hisia taratibu