Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,016
Wana jukwaa hasa wadada ambao hamjaolewa kwa hali ya sasa ukiangalia wanaume wanaojielewa ni wa kuhesabu.
Waliobakia ni wapenda dezo, wapenda kujiremba na kuhongwa. Wakizaa na wadada basi ni kukimbia watoto hawataki majukumu kabisa.
Kama ni gold(wanaume halisi) wameshachenjuliwa kitambo wamebakia makinikia(wanaume suruali).
Waliobakia ni wapenda dezo, wapenda kujiremba na kuhongwa. Wakizaa na wadada basi ni kukimbia watoto hawataki majukumu kabisa.
Kama ni gold(wanaume halisi) wameshachenjuliwa kitambo wamebakia makinikia(wanaume suruali).