Wanaume wa kileo


Ukipiga show ndefu mnakuja tena hapa kujilalamisha mara ooh kuna wanaume wanachoshana. Mnaongea sana nje huku ili mjilinde madudu yenu mnayofanya kitandani ila ukweli mnajua
 

This z jf bana wer pipo dare to talk openly..very right
 

Wanawake wamefanya VIUNO ni MTAJI wanajiliza kwelikweli ukiwakuta kitaa na vizinga wanavyopiga utaona Bonge la DEM unaona ngoja uwekeze ukapate burdan duh,,,,,!! Unaweza kujutia pesa yako wanajitegesha tu mwendo wa GOGO mawazo wamewekeza kwenye POCHI ukiwanyima wananu na hawajui kuwa mtu anatoa pesa yake apate burdan wanaishia kualalamika tu,,!
 
Maskini dah!.hadi nimeona huruma.

Tunakutana na mengi ndiomaana vischana vinapogwa chini kila cku na jamaa zao watu wanataka Burdan yakikweli yee analeta Mambo yakwenye EGOLI pumbav,,,,!
 
mbna wafurah hvo mkuu..unazaba/unazabagwa?...teh teh tehteh
 
Mwambie mumeo bana, haah!. Mm usinipangie nile nin na nin nisile? Na swala la kuibiwa lipo tu, hata ule cjui dona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…