Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,328
- 115,336
πππππUtajua mwenyewe bwana.. Sisi ambao tuna comment hatunaga lolote mnazipitaga comment zetu kwa kuchechemea msiziguse..
Oya masela wadananda endeleeni ivo ivo
πππππUtajua mwenyewe bwana.. Sisi ambao tuna comment hatunaga lolote mnazipitaga comment zetu kwa kuchechemea msiziguse..
Oya masela wadananda endeleeni ivo ivo
Au unaonaje et
Hahahhahahah.....huendaalitaka akuajiri nini
unaniuaa madamHahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.
Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu () ikaja Mil 1.9 na senti.
Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani
Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!!
Mpwa nyie wanaume hamfai kabisa.Lakini mpwa....!!!
Mi naona wasiendelee wawe wakweli tu sababu kama hii ya leo naiona aibu kwao.Au unaonaje et
Hahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.
Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu () ikaja Mil 1.9 na senti.
Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani
Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!!
Hujasikia kwani Bureau de change za Arusha zimefungwaga. πππHahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.
Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu () ikaja Mil 1.9 na senti.
Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani
Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!!
Wakweli hawapewi nafasi sasa.. Lazima tucheze kulingana na mdundoMi naona wasiendelee wawe wakweli tu sababu kama hii ya leo naiona aibu kwao.
Hiyo ilikuwa August shoga.Hujasikia kwani Bureau de change za Arusha zimefungwaga. πππ
Mil 1.9 tuuu yani tuseme 2MilHahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.
Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu () ikaja Mil 1.9 na senti.
Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani
Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!!
Nina sifa moja tu hapa.
Ahsante kwa kuitaja
Wapo wachache sanaa ni kubahatishaHahahahh
Yeye hata asipoona ana dada ake manengelo atapaona.
Humu jf shoga angu, hakuna watu humu.
Iliyobaki tuchorane kila mtu akafie kwao
Hao Hawajataka wakweli wenzao ndio sababu.Wakweli hawapewi nafasi sasa.. Lazima tucheze kulingana na mdundo
Nimecheka! Anajua kuwa na madolar mchezo. ππππHiyo ilikuwa August shoga.
Mwezi wa 8...foleni mpaka December hii....hahahhaha