Wanaume wa Dar wakigombania manzi.

Kisu Cha Ngariba

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
22,135
48,826
f4ed6cf52c5a063bbb99f9959b715527.jpg
 
Hapo hamna hatari sana maana wataishia kupeana mipasho na taarabu. ...ni simba wa kuchora hao
 
Jamaa ajiandae kutupiwa malboro yake nje............wanaume wa Dar bhana umarioo kibao kumbe nure kabisa
 
Wanaume wa dar ni sawa na nyoka wa Bujora makumbusho mkoani mwanza hawana madhara hata kidogo
 
Unajua kama unatuumiza shingo zetu kwa hii picha , yako, sijui wewe ndio uliyeporwa hiyo manzi ukapigwa mtama uko chini ndio ukaipiga hii picha
Akhsante,you make my day...........
2016-10-23-00-33-08-1595438358.jpeg

'mayonene'.
 
Back
Top Bottom